Consult Invisble... two years ago he came with with the same problem na kuna watu walimshauri nadhani amepona!!!
Am bored, am confused, sijielewi, sina raha yani its a yellow-dark-green Tuesday.
:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::crying::crying::crying::crying::crying::crying:
am bored, am confused, sijielewi, sina raha yani its a yellow-dark-green tuesday.
:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::crying::crying::crying::crying::crying::crying:
Mkuu una kumbukumbu! ni kweli alikuwa anaumwa kichwa
Ila tatizo la JS nahisi linaenda zaidi ya hapo
isije ikawa ana kaujauzito TAYARI.......:confused2:
Am bored, am confused, sijielewi, sina raha yani its a yellow-dark-green Tuesday.
:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::crying::crying::crying::crying::crying::crying:
Am bored, am confused, sijielewi, sina raha yani its a yellow-dark-green Tuesday.
:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::crying::crying::crying::crying::crying::crying:
Mkuu una kumbukumbu! ni kweli alikuwa anaumwa kichwa
Ila tatizo la JS nahisi linaenda zaidi ya hapo
isije ikawa ana kaujauzito TAYARI.......:confused2:
Hako kaujauzito hako Kaizer unakokasema nitakapatia wapi watu hawatangazi nia bana wamegoma...........
Wakati mwingine ni mwili na akili vinakuwa vimechoka. Unahitaji mapumziko ya kutosha hasa kama hujachukua likizo kwa muda mrefu ili mwili na akili vipumzike na kuweza tena kupambana na your daily routines za kimaisha. Kama hali ni mbaya sana na inaendelea kwa siku zijazo basi waone Wataalam wakusaidie uondokane na hali hiyo. Kila la heri.