dalalitz kwa vire umesema wewe ni muumini mzuri na mtafutaji wa majibu basi na mie ntakuuliza maswali yangu naamini ulishawahi jibiwa!.
Uliposema yule mtu alipotolewa mapepo yakaelekezwa kwenye kundi la nguruwe na wale nguruwe wakajitosa baharini, lakini hakuna sehemu inayoonyesha nguruwe kutolewa yale mapepo(kwa kukusoma unamaanisha nguruwe wana yale mapepo hadi sasa).
Biblia agano la kale kuna story ya nabii flani nazani ni elia alikua anaenda sehemu malaika wa bwana akatokea njiani akataka kumuua, punda aliyekuwa amembeba elia (if right) akagoma kutembea, elia alimpiga sana yure punda lakini punda akagoma kwenda. Mungu akampa uwezo punda kuongea na punda akamwambia elia "bwana wangu mbona wanipiga..."
swali: Je kuna sehemu uliona wameandika Mungu akampora tena ule uwezo wa kuongea yure punda!?..
sababu kama alisahaulika porwa ule uwezo basi punda wa sasa wangeweza ongea hii ni sawa na kwako kama mapepo hayakuwatoka wale nguruwe basi hadi leo nguruwe wana mapepo
(Jiongeze uonavyo).