Je inawezekana kile alichotabiri TB JOSHUA kwa ajili ya Tanzania kimetimia? Alisema upinzani utashinda lakini hautatawala!!! mm Mungu alijua yatakayotokea, lakni pia naamini anajua what next kwa ajili ya taifa letu! Tujipe moyo wapenda demokrasia ya kweli hakuna marefu yasiyo na mwisho!