Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Nathubutu kuwasifu watu wa hedaru japo nina wacwac na utafiti huu! kwanza watu wa hedaru wana uelewa wa elimu ya afya kwan wanatumia kinga kuepuka magonjwa km ukimwi na mimba ziczotarajiwa,pili wana hela kwan wanafanyia mambo yao gest sehemu safi na salama na mwisho wanafanya mambo yao wakati wa ucku watoto wakiwa wamelala na baada ya muda wa kazi.