Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 288
- 412
Kesho jumapili kulipangwa kipindi maalumu cha CAFETALK ambacho waongozaji wake walipangwa Kuwa Salim Kikeke na muuliza maswali nguli Masoud Kipanya, ghafla likatoka tangazo juu ya kwamba Heche hatahojiwa sababu ya chama chake kuzuiwa siasa...
Sasa Je ni kweli kwamba Heche ni hatari kwenye siasa za nchi yetu kiwango hicho?
Sasa Je ni kweli kwamba Heche ni hatari kwenye siasa za nchi yetu kiwango hicho?