HECHE na LEMA ndiyo suruhisho CHADEMA

HECHE na LEMA ndiyo suruhisho CHADEMA

Amezidi kuwa baridi sana tunahitaji siasa za kina Heche wasiyo na upole ulio pitiliza
True Mashinji hawezi siasa za hamsha hamsha Huwezi pambana na shetani kwa MAJI.Ukitaka kupambana na shetani yabidi ugeuke shetani
 
Kwa hali inavyokwenda ndani ya cdm na upinzani kwa ujumla hapa nchini ni dhaili sasa cdm tunahitaji nguvu mpya kwenye nafasi ya katibu mkuu wa chama.

Kwa sasa tunahitaji watu kama mh Lema na Heche kushika nafasi ya katibu mkuu ndani ya chama.
Kwa sasa chama kimezidi kupoa sana.
Hivi lema huko chadema ni kichwaa eeh! Hii ndio maana hamtaweza shika hatamu maana hamna watu wenye substance! Ona sasa mwingine anapendekeza Sugu, kweli?
 
Hivi lema huko chadema ni kichwaa eeh! Hii ndio maana hamtaweza shika hatamu maana hamna watu wenye substance! Ona sasa mwingine anapendekeza Sugu, kweli?
Lema ni kichwa mara 100 kuliko makasuku wenu wa ndiyooooooo
 
Kwa hali inavyokwenda ndani ya cdm na upinzani kwa ujumla hapa nchini ni dhaili sasa cdm tunahitaji nguvu mpya kwenye nafasi ya katibu mkuu wa chama.

Kwa sasa tunahitaji watu kama mh Lema na Heche kushika nafasi ya katibu mkuu ndani ya chama.
Kwa sasa chama kimezidi kupoa sana.
Hata kwa mwenyekiti sisemi anafanya vibaya, lakini mwenyekiti kakifikisha chama pazuri sana sasa inahitajika njemba nyingine ya kiongeza jahazi ili kufika pwani haraka zaidi
 
Nikweli ila hapo inatubidi kuwa makini sana kumpata mwana cdm wa kweli siyo mwenye tamaa yasije kutukuta kama ya TLP ya Lyatonga mwili upo upinzani wakati moyo upo ccm
Hata kwa mwenyekiti sisemi anafanya vibaya, lakini mwenyekiti kakifikisha chama pazuri sana sasa inahitajika njemba nyingine ya kiongeza jahazi ili kufika pwani haraka zaidi
 
Kwan hujaelewa ?? Lugha Ni kwa ajili ya kufikisha ujumbe baasi
Na hizo alama za kuuliza mbili kwa pamoja zina maana ipi? Unaonesha na wewe ndiyo walewale wa shule za kusomea ujinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom