Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,228
- 98,188
Kwa hali inavyokwenda ndani ya cdm na upinzani kwa ujumla hapa nchini ni dhaili sasa cdm tunahitaji nguvu mpya kwenye nafasi ya katibu mkuu wa chama.
Kwa sasa tunahitaji watu kama mh Lema na Heche kushika nafasi ya katibu mkuu ndani ya chama.
Kwa sasa chama kimezidi kupoa sana.
Kwa sasa tunahitaji watu kama mh Lema na Heche kushika nafasi ya katibu mkuu ndani ya chama.
Kwa sasa chama kimezidi kupoa sana.