MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Mkoa wa pwani bado ni ngome ya CCM sikumbuki vema kama chadema ina mbunge hata mmoja wa kuchaguliwa. Bado chadema haijabomoa.
Chadema huko ni kutapatapa, huyo sufuria ni toto la mjini! amewaingiza mjini muda huu ankula kinywaji pale container bar, yeye ni CCM daima. Uhakika umepatikana MGOMO wa Madaktari+Mkono wa Chadema=Kutaka kudhoofisha Utawala wa CCM; kwa kweli CDM mtapata anguko kali mwaka huu.
Baada ya ndugu mchange habib kuingia kwenye eneo la tukio,wananchi walipiga mayowe na kumshangilia sijapata kuona,hakika kijana anapendwa kibaha.
Chadema huko ni kutapatapa, huyo sufuria ni toto la mjini! amewaingiza mjini muda huu ankula kinywaji pale container bar, yeye ni CCM daima. Uhakika umepatikana MGOMO wa Madaktari+Mkono wa Chadema=Kutaka kudhoofisha Utawala wa CCM; kwa kweli CDM mtapata anguko kali mwaka huu.
mkuu wewe ni MTZ kweli?Chadema huko ni kutapatapa, huyo sufuria ni toto la mjini! amewaingiza mjini muda huu ankula kinywaji pale container bar, yeye ni CCM daima. Uhakika umepatikana MGOMO wa Madaktari+Mkono wa Chadema=Kutaka kudhoofisha Utawala wa CCM; kwa kweli CDM mtapata anguko kali mwaka huu.
kama anapendwa basi angekuwa ngazi ya wilaya au mkoa tuache kutia chumvi
Shilingi moja ni muhimu ili elfu kumi zikamilike!Hv katibu kata ni muhmu kwa ccm,acha upupu!
Mkoa wa pwani bado ni ngome ya CCM sikumbuki vema kama chadema ina mbunge hata mmoja wa kuchaguliwa. Bado chadema haijabomoa.
Chadema huko ni kutapatapa, huyo sufuria ni toto la mjini! amewaingiza mjini muda huu ankula kinywaji pale container bar, yeye ni CCM daima. Uhakika umepatikana MGOMO wa Madaktari+Mkono wa Chadema=Kutaka kudhoofisha Utawala wa CCM; kwa kweli CDM mtapata anguko kali mwaka huu.
Ahsante kwa taarifa naulizia Mchungaji Msingwa yupo? sasa Heche ataendelea kulia lia mpaka lini? Mbona kwenye msiba alikuwa kimya au anatafuta huruma sio mbaya lakini mbinu nzuri ya kuvuta watu.
Chadema huko ni kutapatapa, huyo sufuria ni toto la mjini! amewaingiza mjini muda huu ankula kinywaji pale container bar, yeye ni CCM daima. Uhakika umepatikana MGOMO wa Madaktari+Mkono wa Chadema=Kutaka kudhoofisha Utawala wa CCM; kwa kweli CDM mtapata anguko kali mwaka huu.
Chadema huko ni kutapatapa, huyo sufuria ni toto la mjini! amewaingiza mjini muda huu ankula kinywaji pale container bar, yeye ni CCM daima. Uhakika umepatikana MGOMO wa Madaktari+Mkono wa Chadema=Kutaka kudhoofisha Utawala wa CCM; kwa kweli CDM mtapata anguko kali mwaka huu.
Hv katibu kata ni muhmu kwa ccm,acha upupu!
Hv katibu kata ni muhmu kwa ccm,acha upupu!