Mwanantogakulya
Senior Member
- Mar 18, 2025
- 130
- 118
Chadema inawachezesha muziki munono
Wametema bungoUbaya Ubwela ,wametema ndoano.
Na badoJohn Heche ni mpiga 🔧 mzuri hadi wanaomba poo👐😆😆😁
Tunachotaka kutoka kwake ni REFORMS kwenye mfumo wa uchaguzi ili tuweze kuwachagua viongozi tunaowataka.Chama kimepata watu. Samia atatema bungo mwaka huu.
Mpumbavu wewe!Yani wamchukue katikati ya soko la kariakoo na watu kibao wamejaa alafu washindwe kukaaa nae kituoni kwa kuhofia wananchi? Hao wananchi wanaoandamana nyuma ya keyboard au wapi?
Unahamu ya kukunwa?Mpumbavu wewe!
Ndio kwa sababu ni mleevyy...Baba yako akiitwa mlevi utafurahi?
Genge ndani ya gengeBaada ya kumkamata Kariakoo na kumpeleka Msimbazi, Polisi walimtoa kituoni hapo baada ya Nguvu ya Wananchi kuwatisha na kisha kuwatelekeza kwenye mtaa mmoja na kutokomea.
Baada ya Heche na viongozi wengine kugundua kwamba Polisi Wamekimbia nguvu ya Wananchi wakaamua kuondoka.
Heche ataunguruma Mikocheni kesho na kufichua kila kitisho alichopewa na Mamluki wa Polisi waliotumwa kumteka.
View attachment 3312662