akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,233
- 1,418
Nani kakwambia Warabu hawali Nguruwe.Tatizo mmekaririshwa na warabu eti nyama ya nguruwe haramu
Nani kakwambia Warabu hawali Nguruwe.Tatizo mmekaririshwa na warabu eti nyama ya nguruwe haramu
Ni kweli, japo wakifanya hayo sasa tutapigia mstari yale maneno ya yule MstaafuTahadhari ni muhimu kuchukuliwa.
Kulianza No reformsno electionKwa lipi?
Kaharishe huo uvundo akili ikurudi. Huoni ht haya kuandika huu uchafu?Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Tumeshalizima hilo jaribio wazee wa kilingeniKabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Like seriously...!?🤔🤔🥺🥺🥺
MUngu atamlinda mwanaharakati huyu mwenye mapenzi na nia njema kwa Tanganyika. Waovu watakufa na kuteketea kabla haja dhurika. Ukuu wa Mungu ukadhihirikeKabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
👏👏👏Tumeshalizima hilo jaribio wazee wa kilingeni
Ndipo tulipofika huku mkuu, kama nchiLike seriously...!?🤔🤔🥺🥺🥺
umewaza kama mimi..Kwa Upepo wa kiSiasa uliyopo, sio rahisi huyo kufanyiwa hayo sasa
Unajua Tanzania ime-make headlines juu ya huo uchafu unaoendelea
Kwahiyo sidhani kama wanaweza kuruhusu hayo yakafanyika wakati huu
Kama wanajitambua hawawezi kufanya huo uhuni sasaumewaza kama mimi..
Nakazia. Mwanadamu hawezi kwenda kinyume na mipango ya Mungu. Otherwise Tungeshamsahau LisuShetani hajawahi kumshinda Mungu
Amen amenMUngu atamlinda mwanaharakati huyu mwenye mapenzi na nia njema kwa Tanganyika. Waovu watakufa na kuteketea kabla haja dhurika. Ukuu wa Mungu ukadhihirike
Nguruwe sisi wengine twala, usituharamisheRamli chonganishi ni haramu kama nyama ya nguruwe mkuu.