Dogo kaa mbali na "Mkuu wa Meza" tafadhali!Ramli chonganishi ni haramu kama nyama ya nguruwe mkuu.
Godbless Lema huyo, anataka kumiliki ToneTone maana ni idea yakeKabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Mkuu usiseme hivyo, taadhali kuchukuliwa ni muhimu sana, we ya father kitima ulitegemeaKwa Upepo wa kiSiasa uliyopo, sio rahisi huyo kufanyiwa hayo sasa
Unajua Tanzania ime-make headlines juu ya huo uchafu unaoendelea
Kwahiyo sidhani kama wanaweza kuruhusu hayo yakafanyika wakati huu
Nakubaliana nawe, ila Kwa Upepo tulionao kama Nchi saivi hakuna mwenye akili timamu akafanya hayoMkuu usiseme hivyo, taadhali kuchukuliwa ni muhimu sana, we ya father kitima ulitegemea
Wakifanya itakuwa wameamua kuiingia nchi kwenye janga kubwa.. itaweza pelekea machafuko..Kama wanajitambua hawawezi kufanya huo uhuni sasa
Ila wakifanya, itakuwa ni sikio la kufa
Hakika MkuuWakifanya itakuwa wameamua kuiingia nchi kwenye janga kubwa.. itaweza pelekea machafuko..
Nani dogo?Dogo kaa mbali na "Mkuu wa Meza" tafadhali!
Nani kaleta tetesi hizi?ss tunasema anae panga na wote wanotekeleza watajilikana kabla ya utekelezaji huo MUNGU atawaanika tu.Na mipango hiyo na irudi kwa waovu na adui hao wasifurahi kwa kushinda.Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
-He knows. I suggest the change of plans.Kwa Upepo wa kiSiasa uliyopo, sio rahisi huyo kufanyiwa hayo sasa
Unajua Tanzania ime-make headlines juu ya huo uchafu unaoendelea
Kwahiyo sidhani kama wanaweza kuruhusu hayo yakafanyika wakati huu
Sawa mkuu utasaidia police maana uko na details za kabla ya tukio, madhani likitokea utaku na majibu pia.Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Why mpaka sasa chadema haijaimarisha usalama wa viongoz wao muhimuKabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Lema.Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Asante kwa taarifa mkuuKabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'.
Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report
Chadema lindeni Viongozi wenu kweli kweli!!
Kula kwako hakubadilishi maandiko.Nguruwe sisi wengine twala, usituharamishe