Heche kufuata njia ya Mdude na Polepole

Heche kufuata njia ya Mdude na Polepole

Kila mtu ana breaking news, za ndaani kabisa na kama hutaki kuelewa hatoi codes !

Mbona tunatishana sasa !

Ps...ukileta taarifa leta habari inayoeleweka iliyokamilika ! Heche is fine... ni homa ya uchaguzi tu hao madhulumati watamuachia after 29th !
 
Ikifika kesho Heche hajapatikana, atapoteza na kusahaulika kama ilivyotokea kwa Mdude na Polepole.

Mafwele kapewa maagizo mazito sana .

Hutaki acha, sitoi codes.
Huna codes zozote na Heche watamwachia. Alivyochukuliwa Heche vs Mdude au Polepole ni tofauti. Japokuwa nimesikia uhamiaji walipokuwa wamezua kuwa Heche kaingia Kenya bila kufuata utaratibu walikuwa na nia ya kumchukuwa kwa kificho halafu wasingizie alikwenda Kenya.
 
Huna codes zozote na Heche watamwachia. Alivyochukuliwa Heche vs Mdude au Polepole ni tofauti. Japokuwa nimesikia uhamiaji walipokuwa wamezua kuwa Heche kaingia Kenya bila kufuata utaratibu walikuwa na nia ya kumchukuwa kwa kificho halafu wasingizie alikwenda Kenya.
Wahuni wanabadili mbinu ktk kila tukio, lkn madhumuni ya kila tukio ni yale yale. Na ndiyo maana mbinu tofauti zimetumikq kwa Kibao, , Polepole, Mdude na sasa Heche.

Hutaki acha!
 
Ikifika kesho Heche hajapatikana, atapotezwa na kusahaulika kama ilivyotokea kwa Mdude na Polepole.

Mafwele kapewa maagizo mazito sana .

Hutaki acha, sitoi codes.
🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
 
Ikifika kesho Heche hajapatikana, atapotezwa na kusahaulika kama ilivyotokea kwa Mdude na Polepole.

Mafwele kapewa maagizo mazito sana .

Hutaki acha, sitoi codes.

".. imetoa muda wa siku moja kwa Jeshi la Polisi kueleza alipo ndugu yao kabla hawajaamua kumtafuta wao wenyewe kwa kushirikiana na wananchi."

Kaa kwa kutulia mapema asubuhi utasikia kumbe yuko central.
 
Ikifika kesho Heche hajapatikana, atapotezwa na kusahaulika kama ilivyotokea kwa Mdude na Polepole.

Mafwele kapewa maagizo mazito sana .

Hutaki acha, sitoi codes.
Kwa mfano ikatokea kweli akapotezwa (Mungu aliepushie mbali) au akarudishwa akiwa na majeraha, amepigwa, yuko hoi kama yule Padri aliye "tupwa" msituni wakasingizia alijiteka, kisha raia wakaliacha lipite hivyo hivyo bila any heavy reactions itabidi wanaharakati na wapigania mageuzi watuache tu tufanywe wanavyotaka hao wanamtandao maana hakuna tunaloweza
 
Kwa mfano ikatokea kweli akapotezwa (Mungu aliepushie mbali) au akarudishwa akiwa na majeraha, amepigwa, yuko hoi kama yule Padri aliye "tupwa" msituni wakasingizia alijiteka, kisha raia wakaliacha lipite hivyo hivyo bila any heavy reactions itabidi wanaharakati na wapigania mageuzi watuache tu tufanywe wanavyotaka hao wanamtandao maana hakuna tunaloweza
Hakuna kitu kitafanyika hata wakiuwawa kwa uwazi kabisa wakasingiziwa ni vibaka
 
Kwa mfano ikatokea kweli akapotezwa (Mungu aliepushie mbali) au akarudishwa akiwa na majeraha, amepigwa, yuko hoi kama yule Padri aliye "tupwa" msituni wakasingizia alijiteka, kisha raia wakaliacha lipite hivyo hivyo bila any heavy reactions itabidi wanaharakati na wapigania mageuzi watuache tu tufanywe wanavyotaka hao wanamtandao maana hakuna tunaloweza

Tofauti na hao aliyeondoka na Heche kaonekana hata kwa habeas corpus tu ya Kibatala mbona huyo, hatoboi?
 
Hakuna mtu muoga kama mtanzania, hata mimi ni muoga. Hao jwtz ndio waoga promax. Wao wana mafunzo ya kutumia silaha na utaalamu wote ila ni waoga hata kucomment mtandaoni dhidi ya ccm. Hilo jwtz kirefu chake ni
Jeshi la waoga Tanzania
Jeshi la wanaccm Tanzania
Jeshi la walanchi Tanzania
 
Ikifika kesho Heche hajapatikana, atapotezwa na kusahaulika kama ilivyotokea kwa Mdude na Polepole.

Mafwele kapewa maagizo mazito sana .

Hutaki acha, sitoi codes.
Itakuwa vigumu sana kumpoteza. Wamemchukua mbele ya macho ya Dunia asubuhi na wamekiri wanae wanampeleka Tarime.

Wangefanya uhuni wao kama wangemkamata kwa siri waliposema yupo Kenya. Nafikiri ndio ilikuwa nia yao. Wangeulizwa wangejibu, kwani amerudi kutoka Kenya.
 
Ikifika kesho Heche hajapatikana, atapotezwa na kusahaulika kama ilivyotokea kwa Mdude na Polepole.

Mafwele kapewa maagizo mazito sana .

Hutaki acha, sitoi codes.
Heche kakamatwa mbele ya umma hawawezi muua. Hapo zaidi watampa kesi isiyo na dhamana ili wamtoe baada ya uchaguzi.

Yes hawana aibu tena ila at least hawa top cream kama Lissu, Heche, Mnyika, Mpina hawawezi waua wazi hivyo at least for now.
 
Hilo jwtz kirefu chake ni
Jeshi la waoga Tanzania
Jeshi la wanaccm Tanzania
Jeshi la walanchi Tanzania
Ngoja niviandike vema virefu hivi vya JWTZ;-
*JWTZ = Jeshi la Waoga Tanzania.
*JWTZ = Jeshi la Wanaccm Tanzania
*JWTZ = Jeshi la Wananchi Tanzania
 
Heche atatoka baada ya uchaguzi..
Tundu Lissu atatoka baada ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom