PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
FB_IMG_1746896091403.jpg
 
Msajili kasema itisheni baraza akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche acha kupotosha.Usimlishe msajili ambayo hakusema

Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
 
Back
Top Bottom