Heche anawasaliti Tarime mara ya pili?

mheshmiwa mwenyekiti,nchi inateketea,tafazali tunakuomba uje hapa jamvini utufafanulie haya mambo.
 
kwanini wana JF tuna mshambulia mleta mada yeye binafsi badala ya kushambulia hoja yake???????????/huu ni udhaifu mkubwa.nadhani hii taarifa inahitaji ufafanuzi sio matusi na kejeli.
 
Hayo sasa Majungu,Chaha alikuwa na Magari hata kabla John Heche hajawa diwani,ina maana ikipanda tu Migomba unalipwa na Mgodi? Hapo U dom uansoma Sayansi kimu na Majungu? Sirari hawapo hivyo muulize mama we ni wa wapi
Aisee unanivunja mbavu hahahahaaaaaaaaaaaaa
 
Molemo,
Usiameshe mada hizi tuhuma hazina uhusiano na Bavicha, cha msingi Heche aje kujibu hizi tuhuma za kulipwa na mgodi..

Kingine anatakiwa haonyeshe hizo gari tatu kazipataje wakati yeye hana kazi?

Ni hayo tu mkuu wangu.

heche ana kazi ya kujenga chama cyo kujibu majungu
 
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.

Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.

Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.

Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!

Huu ni UMBEA. Afu kwa mtoto wa kiume kama wewe ni noma. Muda uliotumia kuandika huu UMBEA hapa ni bora ungeutumia kufagia eneo lililopo mbele ya nyumba yako/yenu kwa sababu ni chafu sana kama ulivyo ubongo wako.
 
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.

Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.

Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.

Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!

wewe watu wa tarime unaowasema ni kina nani? acheni kuleta hoja za kimasaburi humu ndani, Heche aliwasaliti wanatarime kwa vipi? kila mtu anajua Heche 2010 aliteuliwa na ngome ya kampeini kuwa kwenye timu ya mgombea urais na alizunguka nchi nzima pamoja na mama susan kiwanga wakimnadi Dr Slaa sasa usaliti wake kwa chama ni upi? hizo hoja mliziibua kumchafua Heche baada ya kampeini kwa hofu tu kwamba Mwita amepoteza jimbo na halmashauri kwahiyo mtafute kisingizio acheni kutafuta mchawi, Heche nakuomba endelea na kazi ya kujenga chama wala usije kujibu ujinga huu, nani hajui kwamba marehemu mzee Heche baba yake na Heche alikua na magari mengi tu pia unajua kwamba hata kaka yake na Heche ni mwanasheria na ana uwezo wa kununua hiace? kwa kuonesha kwamba wewe umetumwa na Mwita au wewe ni Mwita unamchafua Heche na Easter kwasababu ya hisia tu kwamba hawa wanaweza kugombea kipindi kijacho wewe acha uji....ng..a nimejaribu kufuatilia kumbe hata kipindi cha kugombea wenyekiti wa bavicha uliandika ujinga mwingi sana kujaribu kumchafua huyu bwana lakini sasa kazi yake inakujibu kwamba uliandika majungu tu. na sasa tunajua watu wanaohama kutoka ccm kama Mwita wanakuja na tabia za Kishibuda za kuchafua wenzao muache Heche ni zao la chadema tunajua kazi nzuri aliyoifanya pale saut akiwa chuo tunajua pia kazi nzuri aliyoifanya akiwa diwani tunajua jinsi anavyojitolea kwenye chama. na wewe ukirudi hapa tuambie huo usemaji wa watu wa tarime amekupa nani? pia tuambie umefanya mikutano kata ngapi kupata hayo maoni yako ya kimasaburi kuleta humu she....nzi
 
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.

Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.

Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.

Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!

ni muhimu unapoingia hapa jamii uelewe kuwa ni mara chache sana watu wenye upeo mdogo mnaweza kupotosha jamvi hili
1umemtaja MAMA KABAKA eti alimpa HECHE maelekezo ya kukimbia tarime 2010 kwa wale tunaofuatilia tunajua heche aliteuliwa na kama kuu ya chama chake kuwa miongoni Mwa makampena wa mgombea urais DR SLAA na ndugu pekee wa heche aliye kwenye siasa ni chacha ambaye pia alikuwa kampena wa mh MBOWE kule hai kwa kazi za chama pia hapa mama kabaka alimpa nanimaelekezo SLAA au MBOWE!
2wewe ni mwanafunzi wa UDOM uliyezaliwa sirari ukisema hivi unamaanisha kwenye uchaguzi na tangu Kuna za maoni ulikuwa tarime na ulishiriki je leo nani nakuomba report hii? Inayoonekana Umepata juzi ?halafu ukisema umezaliwa sirari unamaanisha nini? Ndiyo mecca huko? Kwamba huwezi kutudanganya?
Y
3 heche na esther sasa hawaruhusiwi kikatiba kuwa na mradi wowote ndani ya tarime? Na hapa kinachogomba ni kwamba yule dada esther anasadikiwa kukudai milioni zaidi ya 5 hutaki kumlipa na kama heche anamheshimu esther sio Mbaya!
4hapo kwenye mgodi hilo shambaunalosema wamepewa na mgodi wamenunua? Au la kwao? La tangu awali? hebu tueleze vizuri hapa kama Kweli huo utafiti wako wa siku 3 una ukweli halafu tushike lipi wamelipwa au wamewekeza? Na wewe hofu yako ni nini? Wamekuzidi fedha au hawatatetea wakazi wa nyamongo maana hii haituingii akilini watu tunaofuatilia bungetunamwona yule dada wa kikurya anavyohoji kuhusu tarime halifax kuhusu heche Kila leo hoja zake zinavyokubalika wewe hofu yako nini?
5ni kweli chadema inapinga matumizi ya fedha ila hata yule unyetaka kumtetea alitoa rushwa Kura za maoni hilo unalijua?
6 Kwa utafiti wa ukweli ni kwamba ukoo ule wa heche una vijana wengi na wanaojimudu kiuchumi swala la magari jumatatu kwao si hoja inasemekana umekuwa na magari tangu heche hajazaliwa na hata mwaka2008 magari yao km BARACK OBAMA yalikuwa kwenye kampeni sio leo wale jamaa kuwa na magari na siyo hoja hii ni ishara ya heche kuwa tayari kuliko kusumbua Watu hata namna ya kulinda kura lakini pia huyu CHACHA unayemshtum ni hofu yako na kushikwa na kiwewe dogo amekuwa mgodini kama operator kwa miaka zaidi ya 3 mpaka aliachishwa kazi kwa ajili ya kuonekana akihamasisha wafanyakazi wenzake kuchangia chadema ndipo akasimamishwa kazi dogo amekuwa mwl na mkufunzi wa tarime ttc ni vipi useme hana jipya ? Dogo yuko vyema yule na hawa madogo kiukweli siasaza huko kwenu waliisha zikamata unajua kuishi na watu ni majasiri tusiwafitini huku labda tufanye upigaji kura tuone wewe na wao nani muuza jimbo?
Lakini pia kuna vijana wengi Kwa heche wengine ni wahandisi wahasibu madaktari wanasheria hawa Wote Hawezi hata kukopeshwa wakanunua gari mpaka awe john heche na chacha unaowajua wewe wewe ndugu yetu jipange upya ulipewa kugombea jimbo lililokuwa limeiva ukaendakulala podjack tunazo ulichangisha million 13 za kesi umejenga ukonga! Sasa makubaliano yako na nyingine ni kumchafua heche eti asigombee maana atashinda then utaaibika mwache dogo yule afanye siasa usifikiri Kila mwanasiasa ni mchumia Tumbo kama ulivyofanya Igunga kajipange ugombee hata kijiji kwanza ndiyoupambane na heche amewahi kuwa diwani wewe hata jumble wa mkoa wanachadema walikunyima mshukuru dr slaa kukupa uafisa leo unajiita mkurugenzi Jibu mi nakushauri karibu masjid al raqb
 
Bila kuwaondoa Heche na Waitara katika siasa za CHADEMA Tarime jimbo hilo bora kuachana nalo, liachwe mikononi mwa mafisadi kwani wakurya hawa wamekuwa wanafiki kuliko watani zangu wazaramo

Hapa mnafiki ni nani? Heche anaendeleaje kuwa tatizo hii mipango ya ccm ya kusema heche aondoke kwao haina mantiki
 
wewe watu wa tarime unaowasema ni kina nani? acheni kuleta hoja za kimasaburi humu ndani, Heche aliwasaliti wanatarime kwa vipi? kila mtu anajua Heche 2010 aliteuliwa na ngome ya kampeini kuwa kwenye timu ya mgombea urais na alizunguka nchi nzima pamoja na mama susan kiwanga wakimnadi Dr Slaa sasa usaliti wake kwa chama ni upi? hizo hoja mliziibua kumchafua Heche baada ya kampeini kwa hofu tu kwamba Mwita amepoteza jimbo na halmashauri kwahiyo mtafute kisingizio acheni kutafuta mchawi, Heche nakuomba endelea na kazi ya kujenga chama wala usije kujibu ujinga huu, nani hajui kwamba marehemu mzee Heche baba yake na Heche alikua na magari mengi tu pia unajua kwamba hata kaka yake na Heche ni mwanasheria na ana uwezo wa kununua hiace? kwa kuonesha kwamba wewe umetumwa na Mwita au wewe ni Mwita unamchafua Heche na Easter kwasababu ya hisia tu kwamba hawa wanaweza kugombea kipindi kijacho wewe acha uji....ng..a nimejaribu kufuatilia kumbe hata kipindi cha kugombea wenyekiti wa bavicha uliandika ujinga mwingi sana kujaribu kumchafua huyu bwana lakini sasa kazi yake inakujibu kwamba uliandika majungu tu. na sasa tunajua watu wanaohama kutoka ccm kama Mwita wanakuja na tabia za Kishibuda za kuchafua wenzao muache Heche ni zao la chadema tunajua kazi nzuri aliyoifanya pale saut akiwa chuo tunajua pia kazi nzuri aliyoifanya akiwa diwani tunajua jinsi anavyojitolea kwenye chama. na wewe ukirudi hapa tuambie huo usemaji wa watu wa tarime amekupa nani? pia tuambie umefanya mikutano kata ngapi kupata hayo maoni yako ya kimasaburi kuleta humu she....nzi

Mkuu kumbe huko Tarime CDM hawaelewani? Naona Mwita (nadhani Waitara) na Heche hawako kambi moja; hii ni hatari.

Mkuu kumbe CDM haina imani na watu waliohamia chamani kutoka CCM; vipi kuhusu Dr. Slaa nakumbuka naye alihamia CDM toka CCM?
 
Heche,
Actions count more than empty words! Keep on man, strengthen the Party, awake the Youth. Last Friday I attended your meeting at CHALINZE behind the Police Station. It was my first time seeing and listening you flowing directly. Man I tell you, the job you did was terrific! Your message was very strong and clear for the layman to chew and digest. Spread this message country-wide. Time is up for changes!
431309_112330765561272_100003530462421_44355_647330120_n.jpg
 
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.

Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.

Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.

Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!



Kwenye RED HAPO
wewe sio mkurya wa sirari bali ni MWITA WAITARA
Na inaonekana huna akili and your not consistence in what you are meaning? heche wana haice 3 at the same time anapiga mizinga wabunge unammanisha nini? ana hela au ni masikini wa kupindukia au? siasa ni mtaji kwa hawa vijana kivipi tell us kama msomi na mtu wenye upeo wa uchambuzi.

IN YELLOW HAPO
unasema heche asipoteze mda kwa kugombea tarime why and to what extentnt you have made a search on it? usiwe unaamka asubuhi na ujinga wako unaleta hoja ya kijinga hapa hadi tunapatwa na wasiwasi na ELIMU YAKO LABDA ULIKUWA UNADESA TU hukumbuki kuwa heche aligombea udiwani akamshinda mtu ambaye ccm ilimpa support kubwa kuliko yule aliyekushinda ulishindwa na mtu dhaifu sanaNYANGWINE! anatakiwa kuachia kijiti kama mwera alivyokuachia na huna influence kura ulizopata tarime kumbuka zilikuwa za wanachadema constant! kumbuka kuwa heche ni mfano wa vijana waliokulia tarime amekulia pale anafahamika nyumba kwa nyumba dogo anajenga hoja yule hata jukwaani ana ushawishi dogo hawezi kusinzia ovyo hata ashindwe kuhesabu matokeo! bisha kuwa hukusinzia mpaka halmashauri tuweke picha hahaaaaaaaaaa!

MWISHO
WAITARA Ulikuta tarime ikiwa na halmashauri na jimbo ni la CDM ukapoteza halmashauri na jimbo leo hii unaleta siasa za kijinga za kuchafua viongozi wa kitaifa wa chadema shame on you waitara
 
Nilivyomuelewa mleta mada ni huyo Heche kuwa na Hiace tatu baada ya kuingia kwenye siasa. Kwa hiyo mtaji wake kisiasa ni kujichumia mali yeye binafsi (kama ilivyo kwa wanasiasa wote wa Tanzania) na si kuwatumikia wananchi.

Huo ndio ukweli wenyewe nitafutie mtu mmoja tu aliyeingia kwenye siasa za miaka hii kwa lengo la kutetea watanzania?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Pole sana mkurya wa tarime unayejiita msomi hapo udom!unachokifanya wewe ni personal attack na inaonekana either una'jealous na jamaa!kuwa na haice 3 is nothing,mbona wengi wanazo hapo tarime!kununua shamba na kupanda migomba,katani,miti nk is just a normal thing hapo nyamongo,na wengi wanafanya hivyo ili wapate hela!sasa we ulitaka Heche aachie bure eneo/shamba alilonunua kwa hao ma hallot wa kizungu!i just pity on you!just leave the man!soma we mwanafunzi usije kamatwa bure kwa ajili ya majungu na wivu!
 
Mtani wangu naona kitabu kimekukamata sasa unaenda kwenye majungu, nakushauri soma kwanza MURAAAAAA upate ulichokifuata UDOM vinginevyo utaajiriwa kuwa tingo wa unayemtuhumu.
 
nilipoona hii hoja nilijua tu mashabiki wa cdm kama kawaida mtamshambulia huyu dogo,ukweli jamani turuhusu akili zetu kutathimini viongozi wetu bila kujali vyama hapa heche juzi tu ametoka saut ni mwalimu wa kawaida kama anafanya biashara halali ya kupata pesa hizo si asema hapa.acheni ushabiki kwa njia hii tunaenda kwa yaleyale ya ccm kuteteana bila kujali ukweli wa jambo.ok kama tutajenga nchi hii kwa ushabiki hivi basi hakuna mkombozi
 
Tujenge utamaduni wa kumhukumu mtu kulingana na perfomance yake.Tujenge utamaduni wa kuangalia mtu ana vision gani kwenye community...Tuache majungu.Kamanda Mwita Waitara anatukanwa hapa hapa na watu waliokuwa wanaunga mkono mapambano aliyoongoza Igunga.Hebu tujenge chama tuache ku-promote mgawanyiko.Kamanda Ester Matiko anafanya kazi nzito,kila mtu anakumbuka harakati za nyamongo.

Kitu kingine cha muhimu,tuzingatie dhana ya uwajibikaji.Ukishutumiwa jibu hoja badala ya kulilia BAVICHA,UVCCM,CUF nk. Hizi rhetorics zinendekeza mduara wa uzembe na kukwepa wajibu wa kisiasa.Tuwe mfano halisi wa mabadiliko tuyatakyo

Tafadhali wakuu hebu tujenge chama,huu ugonjwa wa kutokujiamini kisiasa unaleta matatizo makubwa kiutendaji.

NB: JF inashushwa thamani na wimbi la Rumour mongers lililoingia,tusikubali kuwa trapped sasa kwenye majungu
 
Back
Top Bottom