Heche anataka sera ya muafaka? amuomba Samia awaite mezani waongee

Heche anataka sera ya muafaka? amuomba Samia awaite mezani waongee

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
20,725
Reaction score
31,305
Lissu akitoka segereMatata anaweza kumfukuza John Heche kwa usaliti.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan bado ana muda wa kuyaita makundi mbalimbali ya kisiasa mezani ili kufanya mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Heche amesema hayo akizungumza kupitia jukwaa la mtandaoni la Baraza la Kidijitali la chama hicho siku ya Jumatano Agosti 27, 2025.

"Tuna muda, na Rais Samia bado ana muda wa kuita watu mezani, wakazungumza na wakabadilisha hali hii ili tushindane kwa haki", ameeleza Heche.
Screenshot_20250827-190603.jpg
 
Lissu akitoka segereMatata anaweza kumfukuza John Heche kwa usaliti.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan bado ana muda wa kuyaita makundi mbalimbali ya kisiasa mezani ili kufanya mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Heche amesema hayo akizungumza kupitia jukwaa la mtandaoni la Baraza la Kidijitali la chama hicho siku ya Jumatano Agosti 27, 2025.

"Tuna muda, na Rais Samia bado ana muda wa kuita watu mezani, wakazungumza na wakabadilisha hali hii ili tushindane kwa haki", ameeleza Heche.
View attachment 3455226
Kamwambie msajili afungie na hii DIGITAL BARAZA SASA
 
Lissu akitoka segereMatata anaweza kumfukuza John Heche kwa usaliti.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan bado ana muda wa kuyaita makundi mbalimbali ya kisiasa mezani ili kufanya mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Heche amesema hayo akizungumza kupitia jukwaa la mtandaoni la Baraza la Kidijitali la chama hicho siku ya Jumatano Agosti 27, 2025.

"Tuna muda, na Rais Samia bado ana muda wa kuita watu mezani, wakazungumza na wakabadilisha hali hii ili tushindane kwa haki", ameeleza Heche.
View attachment 3455226
Wewe kiharage unahangaika sana na Chadema au mumeo hajakisugua vizuri leo ?
 
Pole pole anasema Kuna watu wako masaki , kazi yao ni kusifu na kuabudu binadamu mwenzao
 
Lissu akitoka segereMatata anaweza kumfukuza John Heche kwa usaliti.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan bado ana muda wa kuyaita makundi mbalimbali ya kisiasa mezani ili kufanya mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Heche amesema hayo akizungumza kupitia jukwaa la mtandaoni la Baraza la Kidijitali la chama hicho siku ya Jumatano Agosti 27, 2025.

"Tuna muda, na Rais Samia bado ana muda wa kuita watu mezani, wakazungumza na wakabadilisha hali hii ili tushindane kwa haki", ameeleza Heche.
View attachment 3455226

..Heche anasisitiza vyama vishindane kwa HAKI.
 
Lissu akitoka segereMatata anaweza kumfukuza John Heche kwa usaliti.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan bado ana muda wa kuyaita makundi mbalimbali ya kisiasa mezani ili kufanya mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Heche amesema hayo akizungumza kupitia jukwaa la mtandaoni la Baraza la Kidijitali la chama hicho siku ya Jumatano Agosti 27, 2025.

"Tuna muda, na Rais Samia bado ana muda wa kuita watu mezani, wakazungumza na wakabadilisha hali hii ili tushindane kwa haki", ameeleza Heche.
View attachment 3455226
What a wasted manii
 
Lissu akitoka segereMatata anaweza kumfukuza John Heche kwa usaliti.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara John Heche amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan bado ana muda wa kuyaita makundi mbalimbali ya kisiasa mezani ili kufanya mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Heche amesema hayo akizungumza kupitia jukwaa la mtandaoni la Baraza la Kidijitali la chama hicho siku ya Jumatano Agosti 27, 2025.

"Tuna muda, na Rais Samia bado ana muda wa kuita watu mezani, wakazungumza na wakabadilisha hali hii ili tushindane kwa haki", ameeleza Heche.
View attachment 3455226

IMG_20240428_070927.jpg
 
Back
Top Bottom