Hebu Watanzania Confirm if this Video Is Real, Not Acted

Hebu Watanzania Confirm if this Video Is Real, Not Acted

Kweli kabisa hiyo na kuna tetesi zinasema kuwa mume wa huyo anaemnyoa mwenzake kamnunulia bonge la zawad anaenyolewa
 
Kweli kabisa hiyo na kuna tetesi zinasema kuwa mume wa huyo anaemnyoa mwenzake kamnunulia bonge la zawad anaenyolewa

kama ni kweli mbona hiyo ni marder, anatumia kisu na panga? vyombo husika vishughulike na swala hili.
 
Bila mchezo: tumevuka mipaka yote ya ubinadamu. Kwanza hajafanya hicho kitu. Mbili, mwanamke ni mleta uhai duniani: Ukatili huu wa kumkalisha chupa umetoka wapi? Hiyo sio kumkomoa bali ni kumuumiza. Je hiyo itamfanya mchepukaji (mume) kutulia?
 
Hii dunia bhana ni kama watuhumiwa wa Escrow walivyokuwa wanataka kukalishwa... Ila this is too much
 
Hyo ni kweli, cjui n wapi, na kama kunamtu hum atusaidie mahusiano ya huyo dada na huyo akiekuwa anaambiwa akalie chupa..

Kama ni kweli huyo mdada jinai inamsubr, kama yule wa uganda, huyo msichana akipata mtu akamuuma skio, ndoa hana jera inamuita na jamaa anajisevia vizr.
 
Yes ni video ni bonafide genuine, ila wame overdo kwa sababu walijua wanarekodiwa!.

Ule ugonjwa wa watu kunyanyaswa kwa sababu hawajui haki zao!, kupanga kufanya game na mume wa mtu, sio kosa!, kosa ni kama wangefanya na kufumwa!, na kosa lenyewe sio la jinai bali ni madai!, kitendo alichofanyiwa hiyo mwanamke kunyolewa nywele ni shambulio la kudhuru mwili, hilo ni jinai, huyo dada angepata mwana sheria, huyo aliyemyoa, sio tuu ange ny.. debe, bali angekula mvua, na huku nyuma mumewe angejilia kwa raha zao!.

Mume analindwa kwa kutoshelezwa na sio kwa kutishia watu ikiwemo kuwanyoa!.

Pasco
 
Mashine ya KUFULIA na KUKAUSHA zinauzws
 

Attachments

  • 1417359172094.jpg
    1417359172094.jpg
    50.6 KB · Views: 519
ni kweli, imetokea arusha, huyo dada mnyoaji alikua mfanyakaz wa tanesco bt keshafukuzwa kazi. Mimi angenifanyia hayo ndio kwaaanza ningefanya kweli maana bwana nisingemwacha hata afanyaje.
 
ni kweli, imetokea arusha, huyo dada mnyoaji alikua mfanyakaz wa tanesco bt keshafukuzwa kazi. Mimi angenifanyia hayo ndio kwaaanza ningefanya kweli maana bwana nisingemwacha hata afanyaje.

Hahahaaa next time angekunyoa zivu kwa chupa...halafu angekwambia kalia mshale mamiii...
 
Back
Top Bottom