Kweli aisee!!Hili la kughushi umri kwangu mimi nipo tayari hata kama sio Kweli maana nataka nilipwe haki zangu nirudi kijijini, hili halihitaji uhakiki, wao watangaze tu kuwa anayetaka kustaafu hata kama hajafikia umri wa kustaafu mbona tutajitokeza wengi kuliko hao elfu arobaini