julius milla
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 633
- 329
Maendeleo yatatoka wapi mkuu?tunaambiwa nchi ya viwanda,viwanda viko wapi?Magufuli anataka kujenga viwanda,ili hali kufufua General Tyre inamshinda.vichekesho kwelikweli.!!!!Mara paaaap miaka mitano inaishia kuhakiki hakiki tuu, hakuna maendeleo ya maana.