Hebu tumsaidie huyu kijana

Hebu tumsaidie huyu kijana

sina cha kumshauri ila pia siwez kufanya uboya wa kuhonga kibwegebwege kama sijapitia chekechea.....!!!!!!
 
Mkuu Tamalisa nakubaliana na ww kabisa ktk dhana hiyo. Lkn ili hilo jambo lilete maana inabidi awe bikra sifa ambayo siamini km anayo. Hapo ndo kwenye tatizo,kwamba huenda anambania dogo lkn kuna wengine wanapiga bila shida.

Suala la kutokuwa bikira sio kigezo cha yeye kulazimisha hilo, kitu cha msingi hapo ni jamaa kufuatilia kweli huwa anakataa au kuna mahala anatoa? akigundua kweli hatoi, pia inaweza kuwa ishara ni mdada anayejitambua na anafaa kuwa mke! (japo sio lazima iwe hivyo anaweza kuwa hivyo na asiwe mke mwema). akivuliwa nguo akaona anafaa na na kuamua kuoa soon. lakini kumbe ni malaya, je atakuwa mke huyo?? au sifa zingine zisizo nzuri.

Afuatilie tabia akijiridhisha atangaze ndoa, si amesema hapo yupo serious anataka kuoa, wanaume wenyewe hawaeleweki, kama binti ana malengo yake sio rahisi kuvua nguo ovyo na anakua ktk real love kabisa. Ukimuacha wanaume wanaojitambua watabeba.
 
Mbona ni ww mwenyewe unaomba ushauri unacngizia kijanaaa cjui
 
Mwambie amuongezee hiyo hela aisee!! Ampe angalau 345,000 kwa mwezi!!!
 
Asitishe huduma kwanza inawezekana demu anamwinge yeye Kama mtoa matumizi tu,
 
dah jamaa kakosea sana kumpa hela bila sababu ya msingi. yeye alitakiwa kutoa msaada hasa pale binti anapokua amekwama hiyo itamsaidia hata binti kujenga imani kuwa yupo kwenye mikono sahihi hasa nyakati za shida. ninachokiona hapo jamaa anaaply ile kauli ya usipokua tayari kuliwa kidogo hulii
 
Tunatofautiana mitazamo.....me wiki moja tu bila tunda nachapika kwa mtazamo wangu sifai kumshaur jamaa ila namsifia kwa kupunguza tatizo la ajira
 
mwambie amuongezee mshaara walau ampe 500k
 
Huyo analiwa pesa zake...mm nikitongoza demu nampa one week kama hataki kutoa mzigo bas mm na yy.....
 
Mbona ni ww mwenyewe unaomba ushauri unacngizia kijanaaa cjui
Mkuu mjukuum hili ni jukwaa huru na tunatumia id fake. Sina sababu ya kusingizia mtu km mm ndo ningekuwa mhusika ningesema bila hata woga. Labda kwa kukuondoa hofu,me nimeoa tangu mwaka 1998.mwezi may. Mtoto wangu wa kwanza yupo kidato cha 3. Nadhani mpaka hapo umeelewa km me ni kijana wa zamani kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mjukuum hili ni jukwaa huru na tunatumia id fake. Sina sababu ya kusingizia mtu km mm ndo ningekuwa mhusika ningesema bila hata woga. Labda kwa kukuondoa hofu,me nimeoa tangu mwaka 1998.mwezi may. Mtoto wangu wa kwanza yupo kidato cha 3. Nadhani mpaka hapo umeelewa km me ni kijana wa zamani kidogo.

Ehuiiiiiii sawa nimekusoma mtoto wako ni ke ama me samahani kwa swali lkn naamini utanijibu
 
Last edited by a moderator:
Wana MMU salaam,

Huyu kijana ni mjasiriamali wa siku nyingi. Ni kijana fighters sana kwenye maisha, amejijenga vizuri sana, kwa maana ya kuwa na mahali pa kuishi na kausafiri lakini hajaoa.! Ana mchumbaake ambae anaonyesha kampenda sana, kwa maelezo yake anadai hadi sasa wana kama miezi mitatu wakiwa kwenye uchumba.

Kijana analalamika kuwa, kipindi chote hicho cha miezi 3, hajapewa lile tunda la katikati! Kilichomstua kwa maelezo yake, binti anadai hawezi kumvulia nguo kwa muda huu mfupi sana walionao kwenye uchumba. Tatizo lipo kwenye huduma, kijana anadai anamhudumia binti kila kitu, pamoja na kumjali kwa kila kitu, lakini ili kumfanya awe salama zaidi, ameamua kuwa anampa mshahara wa laki mbili na nusu kila ikifika tar. 25 ya kila mwezi.

Binti anafanyakazi katika Duka moja la kuuza vipodozi hapa. Ndo amekuja kuniomba ushauri kama amvumilie au aachane nae kuepuka hizo gharama? Mimi nimemshauri kifupi sana, amwambie na yeye anasitisha huduma mpaka hapo watakapomaliza kuchunguzana na kukubaliana. Hakuna haki bila wajibu hapa Duniani. Lakini namuona kijana kama anaogopa kuchukua ushauri wangu.

Hebu nisaidieni cha kumshauri! Najua hapa hakiharibiki kitu

Nawasilisha
kijana anavutwa masikio tu, hana chake hapo... keshageuzwa spea na yeye
 
Mwambie huyo mvulana aache zinaa, huyo msichana yupo sahihi.

kukutana kimwili inaruhusiwa baada ya ndoa.

Hata kukuhudumia ni baada ya ndoa pia . Vipi ahudumie wakat hajawa na uhakika ni mke wake ama siye? ??
 
Back
Top Bottom