OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,776
Kesho press ya Mwakalabela, Luis hana mkataba na Simba
Umeme ulikatika ko game nimeimiss msaada kwa anaejua marudio yatakua lini na sa ngap nione
Tunaandaa makwanja, ni kufyekelea mbali miguu yote! Hakuna namna, bora lawama kuliko fedheha! Kwahiyo jiandaeni, tumejipanga kwa red cards kama nne hivi kwa wafuatao;kwa siku chache zilizobakia, yanga watafute tu mwanasaikolojia ..
Naomba address yako na size unayovaa nikutumie jezi ya Simba.Lile goli tamu sana, ningeweza kuweka clip ningeweka aisee
Hamkawii kung'oa viti, mara yanga wachawiManyani wanaona wivu....tarh 18 nawashauri wasiingize timu uwanjani...watapigwa nyingi sana
dk 90 zitaongea, huo nimewapa tu kama ushauri wana utopolo maana sio kwa moto huuTunaandaa makwanja, ni kufyekelea mbali miguu yote! Hakuna namna, bora lawama kuliko fedheha! Kwahiyo jiandaeni, tumejipanga kwa red cards kama nne hivi kwa wafuatao;
1. Lamine Moro kwa kufyeka Morisom, mtamkuta Moi!!!!
2. Ninja atamfyekelea mbali Miqson wenu huyo, mtamkuta Mwaisela!!!!!
3. Adeyum, atamfyekele mbali Chama, huyo ataishia Temeke, haendi mbali.
4. Sapong atamkanyagia mbali Kipa wenu Manula, mtamkuta Amana.
Nakwambia vita ni vita mura!!!!!.
Sisi tunagechaa tu
wala hata usiwe na sdiha ngoja tusubuli 18-10-2020Nawaonea huruma Yanga! Basi tu