mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Hahah naona umenifumania chalaa angu.Naona unakokotoa chalii angu
Hahah naona umenifumania chalaa angu.Naona unakokotoa chalii angu
Wabongo tunapenda quick money, bila kuwaudhi watu, tunapenda mambo ya good morning Q-net, Kijani Kibichi, Mr Kuku, Forever Living, tuma kwenye namba hii n.k.Hahah huko kwny bonds naona hua tumewaachia Wafanyabiashara wa kihindi na wabongo flani wachache wenye exposure ya hapa na pale ila wengine waliobaki hua hawana habari na hizo mambo kabisa.
'Wahindi na wachache sana wanajinufaisha huko kimya, hutosikia mtu anaitwa huko kwenye hizo fursa za ukweli.'Wabongo tunapenda quick money, bila kuwaudhi watu, tunapenda mambo ya good morning Q-net, Kijani Kibichi, Mr Kuku, Forever Living, tuma kwenye namba hii n.k.
Wahindi na wachache sana wanajinufaisha huko kimya, hutosikia mtu anaitwa huko kwenye hizo fursa za ukweli.
Everyday is Saturday................................
Inataka roho ngumu kuweka mpunga kwny fixed a/c mkuu.Hii kazi ya kufix hela ni ushenzi. Kama mambo ndio haya, sioni sababu kufanya hivyo.
Hio 5% ni kwa muda gani wanakupa?hakuna muda, unaweza kutoa na kuweka almost muda wowote
Hapo maneno la kuzingatia ni 'rate yenye riba mpaka 9.5%' yaani uki tafsiri kwa Kiingereza ndio unapata picha nzuri zaidi, 'interest rate up to 9.5%', ikimaanisha hiyo 9.5% ndio maximum rate na sio kuwa kila anayepeleka fedha watalipwa kwa rate hiyo, unaweza ukaenda na milioni 3 zako ukapewa rate ya 3% ukashangaa kumbe hujaelewa tangazo ExtrovertNaona hilo tangazo:
1.liko dated november 2018 kwa hio sijui kama liko valid mpk sasa.
2.Tangazo linasema "Sasa tunakupa fixed deposit rate maalum yenye riba ya mpk 9.5% kwa amana ya a/c yako itakayodumu kwa miaka 2'.
-Sasa hapa Key words ni 'MIAKA 2.'
Maana yake ni Kwamba kupata Interest/per anuum:
9.5%÷2yrs=4.75%/annum
Kwa hio mzee baba kwa tangazo lao hilo interest yao kwa mwaka ni 4.75% kwa mwaka.
Wametumia lugha ya kibiashara tu hapo.
View attachment 1639689
Hapo maneno la kuzingatia ni 'rate yenye riba mpaka 9.5%' yaani uki tafsiri kwa Kiingereza ndio unapata picha nzuri zaidi, 'interest rate up to 9.5%', ikimaanisha hiyo 9.5% ndio maximum rate na sio kuwa kila anayepeleka fedha watalipwa kwa rate hiyo, unaweza ukaenda na milioni 3 zako ukapewa rate ya 3% ukashangaa kumbe hujaelewa tangazo Extrovert
BOA bank ukiweka mpunga wa 100m riba 8% inakubalikaCha msingi ujue hizo riba hazipishani sana kati ya ma-bank na uwe na mpunga wa kutosha.
Mfano:
Bank ya DTB ukiwa na chini ya Tsh. 100mil interest kwa mwaka ni 5.75%,
Tsh.100mil-500mil interest ni 6%
Tsh.500mil-1000mil interest ni 6%
Fanya Hesabu rahisi tu:Umeweka mpunga wako kwny bank hio kwa hio miezi 3,umeweka labda Tsh. 10mil ,then:
10mil×3/12×5.75%=Tsh.143,750
Then toa 10% withholding tax ya serikali hapo:
143,750-(143,750×10%)=Tsh.129,375
Is it worth? Sijui
Najua sijajibu swali lako la msingi khs bank gani ina riba kubwa lkn on average sidhani kama itazidi 7% p/annum,Sina uhakika lkn.
Ni ukweli mtupu. Mara nyingi fixed dep. rate inategemea amount unayoweka na pia muda. Hilo tangazo ni la kuvutia watu tu.Hapo maneno la kuzingatia ni 'rate yenye riba mpaka 9.5%' yaani uki tafsiri kwa Kiingereza ndio unapata picha nzuri zaidi, 'interest rate up to 9.5%', ikimaanisha hiyo 9.5% ndio maximum rate na sio kuwa kila anayepeleka fedha watalipwa kwa rate hiyo, unaweza ukaenda na milioni 3 zako ukapewa rate ya 3% ukashangaa kumbe hujaelewa tangazo Extrovert
Hayo mambo ya sijui withholding tax waliyosema unayajua vizuri? I mean ukweka fixed kwa eg mwaka faida utakayolipwa inakatwa tax au unachukkuwa mpunga wote?BOA bank ukiweka mpunga wa 100m riba 8% inakubalika
Hivi kunakuwaga na tax unayolipa serikalini wakati wa kuchukuwa ''faida'' yako?'Wahindi na wachache sana wanajinufaisha huko kimya, hutosikia mtu anaitwa huko kwenye hizo fursa za ukweli.'
Hahah hapo umepiga kwenyewe mzee baba,ngoja sisi tusubiri Mr. Kuku nyingine ianzishwe tukapambanie kombe mkuu.
Kwani swali linauliza kuhusu withholding tax?Hayo mambo ya sijui withholding tax waliyosema unayajua vizuri? I mean ukweka fixed kwa eg mwaka faida utakayolipwa inakatwa tax au unachukkuwa mpunga wote?
Tupe hii idea ipoje ipoje kwa crypto na je uko ether pakoje kulingana na madaKwa ushauri wangu nunua ethereum au cryptocurrency yoyote yenye future nzuri kuliko kuhangaika na mafixed acc
Bonds inayo-mature kwa miaka 2 unalipa withholding tax(10%).Hivi kunakuwaga na tax unayolipa serikalini wakati wa kuchukuwa ''faida'' yako?
Ngoma inakatwa kodi ya 10% kama kawa mkuu.Hayo mambo ya sijui withholding tax waliyosema unayajua vizuri? I mean ukweka fixed kwa eg mwaka faida utakayolipwa inakatwa tax au unachukkuwa mpunga wote?
Jamaa wamejitahidi sana mkuu.BOA bank ukiweka mpunga wa 100m riba 8% inakubalika
Kabisa mkuu, lugha iliyotumika hapo ni ya kisanii sana.Hapo maneno la kuzingatia ni 'rate yenye riba mpaka 9.5%' yaani uki tafsiri kwa Kiingereza ndio unapata picha nzuri zaidi, 'interest rate up to 9.5%', ikimaanisha hiyo 9.5% ndio maximum rate na sio kuwa kila anayepeleka fedha watalipwa kwa rate hiyo, unaweza ukaenda na milioni 3 zako ukapewa rate ya 3% ukashangaa kumbe hujaelewa tangazo Extrovert