Hebu tuchambue matumizi ya haya magari ya viongozi wetu yanazolalamikiwa

Wakuu kuna huu mjadala wa matumizi ya magari ya kifahari kwa viongozi wetu haya ma V8

Tangu napata akili huu mjadala nimeukuta ukijadiliwa.

Sasa hebu wanaojua tujadili gharama zake hasa manunuzi na matumizi yake ya mafuta mfano V8 moja linatumia kiasi gani cha mafuta kwa kilometa 1 n.k

Lengo tujue ni jinsi gani tunapoteza kwa ajili ya magari tu. Na ikiwezekana tutoe na pendekezo la gari gani zinafaa kwa viongozi wetu zenye gharama nafuu lakini zina usalama kwa viongozi wetu.

Asubuhi njema wakuu.
 
Back
Top Bottom