Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Hatimaye nimeona meno ya kuku
Hatimaye nimeona meno ya kuku
Hey ladies, leo nimeona tuambiane ni mwanaume mwenye tabia gan uwezi kuwa naye kwenye mahusiano ?
Binafs siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume anaye vaa boksa ya kitenge,mvuta sigara
Huyu asiyemjua Mungu ndiyo anakuwaje mkuu ?Anaekunywa pombe, anaevuta sigara au bange au shisha, mchafu, mzinzi, asiemjua Mungu na aiseheshimu maadali mema, anaeropoka hovyooo
Bila kusahau mwanaume ambae ni mtoto wa mama, hata mkitofautiana kidogo anapuga simu kwao...niliwahi kuwa na boyfirend hata mkipishana kauli anampigia dada yake simu, siku ikafika nikajumlisha utoto wake, wivu wa kijinga, misimamo rigid na empty set in head nikamuachilia mbalii
Sijui atakua Wapi George....sijawahi kumuona since 2010 na hata nikimuona sitamsalimia aliniuzi sana mshenzi yule
inabidi uwe una mpa kila wakati, siyo kumnyimaVyote vinavumilika lakini mwanaume mzinzi kwa kweli simuwezi.
Mwanaume bora ???!!!! ili jeshi la mtu mmoja awe mwanaume bora awe mwanaume fake hainishitui muhimu kwangu mungu tu anaye nipa pumzi wengine wote ata wasipo kuwepo kwa maisha yangu hainishitui simtegemei mtuAkili ya kitoto inakusumbua. Ukikua utagundua sifa za mwanaume bora ni zipi.
Ofcoz na mimi namuunga mkono mwanaume wa hvo wa nini sasa kasahau mwanaume yule anaye kuganda ata uwe choon ukichelewa anakuuliza ulikuwa unafanya nini khaNimeongea na mke wangu swali hili akanijibu hivi:- Kamwe hawezi kuwa na uhusiano na mwanamme.
Mtumiaji sumu kama alcohol na sigara.
Mfupi kuliko yeye.
Mshirikina na mwabudu mizimu.
Asiye na confidence.
Mumbea,
Msengenyaji,
Asiyejali familia.
Anayefuatilia mambo ya kike.
Mwenye fitina.
Mwenye dharau.
Mvivu.
Mwenye maringo.
Mwnye kujiani bila kuwa na akili.
Anayethamini maneno ya mitaani na kutokuthamini uwepo ama mchango wa mke katika maisha.
Asiyejali wala kutetea hisia za mke wake.
Mwenye kiburi na ubinafsi!.
Mwenye hasira, visasi na vinyongo.
Malaya na mlaghai.
Mwenye kutaka kuwa na wake wengi kwa kisingizio eti dini na mila!. Pyuu!
Anayeogopa wanawake wasomi na kugandamiza uwezo wa mke.
Asiyeweza kumtetea mkewe katika hali zote wakati wako wote ama mke hayupo.
HUYO NDIYE MKE WANGU MWENZENU!.
Ofcoz na mimi namuunga mkono mwanaume wa hvo wa nini sasa kasahau mwanaume yule anaye kuganda ata uwe choon ukichelewa anakuuliza ulikuwa unafanya nini kha
mi natafuta mwanamkee mvuta shishaa na mweupe pia awe amechora tatoo hadi matakoni
Kwamba unakua unatengeneza njia auFaida ya kudate na Mimi ni kuwa tukiachana unaolewa moja kwa moja..
Nina bahati sana nijaribu rafikiKwamba unakua unatengeneza njia au
Ahahahah.. Bas nikiwa tayari kwa ajili ya kuolewa inabidi nikutafute tuyajengeNina bahati sana nijaribu rafiki