moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,366
- 4,970
Muombe picha mtoa maadaPcha kdogo ya boxa yakitenge ili tupate uhalisia....pengne me nae navaa
Muombe picha mtoa maadaPcha kdogo ya boxa yakitenge ili tupate uhalisia....pengne me nae navaa
Ile harufu ya sigara hapana aisee..... nikifikiria madhara ya nicotine kwangu na kwa watoto ndio nazidi kumchukiaSabab ipi hupend mvuta sigara??
Ok sawa,hiyo haruf sio inshu labda kama anavuta sigara cheap,pia baada ya kuvuta lazima nitafune kitu cha kutoa harufu,faida ya sigara inapunguza dopamine hivyo kufanya mapigo ya moyo yaende slow na kupunguza blood pressure,inafanya mtu kurelax,yaan sio mtu wa kupanik paniki,Ile harufu ya sigara hapana aisee..... nikifikiria madhara ya nicotine kwangu na kwa watoto ndio nazidi kumchukia
Baada ya kusoma hapa ikanijia sura ya mwijaku hivi 🤣🤣🤣!!! Nadhani anakuwa ni mfano haiBoksa ya kitenge😀😀
Binafsi mwanaume anayependa attention na masifa ya kijinga siendani nae.
Hahaaa kwanini?zipo hum tafutanione pc kbla ya kutengua kauli maan isije kuwa ata kuongozan barabran ikawa mita 10 10
Wallah nakuambiaSema kweli
Njoo pmTuone body
Ok sawa,Mmmh jmn mpk nianze kutafuta jmn niwekee ata kule pm kama utaki kutuma uku
Sema saivi sitafuti, nikitafuta nitaweka tangazo langu kule love connect😅Ingefaa uweke vigezo muhimu utakavyo, si wajua kupendana popote mrembo?
Asante kwa kunielewa, daah nakerekaga basi tu ndo vile ukisema wa nini mwenzako anawaza atampata lini😂Baada ya kusoma hapa ikanijia sura ya mwijaku hivi 🤣🤣🤣!!! Nadhani anakuwa ni mfano hai
Kwahio unamvumilia tu, ubaya una maslahi utakuwa unapata so far na ndio kinachokuweka hapo.🤣🤣🤣Asante kwa kunielewa, daah nakerekaga basi tu ndo vile ukisema wa nini mwenzako anawaza atampata lini😂
Wee hapana siwezi vumilia kwanza nikijua mtu ni wa hivyo hata mazoea sitataka.Kwahio unamvumilia tu, ubaya una maslahi utakuwa unapata so far na ndio kinachokuweka hapo.🤣🤣🤣