unajua hata ukumbini wakifunga mziki utaona mc anapigapiga mic anasema "microphone test tunajaribu" ndo hii kitu sasa
Buda grow up,unaona mtoto hapa,si i think hizo vitu tuliachia watoi wa grade 1 mpaka 4Katika hii Dunia kuna vyombo vya usafiri vingi tutajie majina ya magari uyajuayo!
..ambao hatumiliki unaonaje tukiwa na thread yetu ya kufarijianaNmewahi kuendesha Suzuki swift 1300cc auto, Suzuki vitara mini manual na toyota chaser automatic.
All in all similiki wala sijawahi kumiliki gari yoyote
Ni kweli kabisa mkuu, fanya kuanzisha thread ingawa mleta mada pia ametulenga ambao tunayaonea mtandaoni na ya kuazima ingawa katulindia heshima kidogo akaacha kututaja wazi..ambao hatumiliki unaonaje tukiwa na thread yetu ya kufarijiana