Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,737
- 18,932
kajitoleen hata lawfirms,mpate uzoefu! Km hamtak kuendelea na carrier endeleen na matikitimaji! HATA LAWSCHOOL hamjasoma mnataka ajira,limen matikitimaji huko kwenu!
Hivi unajua huko law firms wanafanyaje..wewe jamaa mpaka umeona mtu ameweka LL.B pemben ujue si kitu kidogo..jombaa..wazazi wanatuhamasisha tusome tuje kupata ajira wewe uliyesoma na mwenye ajira unakipi cha ajabu..kama sio liabilities tu..ambazo kwa akili yako unafikiri ni assets..hongera jamaa nimekusoma..hapo kwenye diploma daaah umetisha watu wanajikuta mabishoo sana..!!