Hebu ona mwenzako nilivyoanza kujiajiri!

Hebu ona mwenzako nilivyoanza kujiajiri!

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,668
Vijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.

Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...

Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
 
Vijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.

Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...

Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki CCM!
 
Vijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.

Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...

Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!

Hongera kwa uthubutu kijana, ni vijana wachache wenye uthubutu kwa sasa, tatizo ni mfumo wetu wa elimu...

Ila nakutahadharisha kuwa safari bado ni ndefu sana kwako, usiwabeze wenzio wa ustawi wa jamii kwa kushindwa kuingia kwenye kilimo bali weka juhudi na usubiri mafanikio. Kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa hata mavuno bado ndio kwanza mahindi yamechomoza. Kuna safari ndefu sana na yenye changamoto nyingi hadi uuze hayo mahindi, uvumilivu unahitajika sana. Pia usitegemee msaada wowote hata wa ughani kutoka kwenye hii serikali yetu kwani imetelekeza wakulima wanapigana kivyao, nawe pigana kivyako
 
Vijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.

Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...

Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!

Bado hujavuna unaanza kujisifu? Tunataka ripoti kamili ukishavuna.
 
Hata nisipopata mavuno mazuri, lakini najivunia kwasababu NIMETHUBUTU
 
Jitihada za maendeleo hazina chama, sio kwasababu sera ya Kilimo Kwanza ni ya CCM basi ndio tusiifanyie kazi eti kwasababu tu ww huipendi CCM!
 
Baba V, jitihada za maendeleo hazina chama, sio kwasababu sera ya Kilimo Kwanza ni ya CCM basi ndio tusiifanyie kazi eti kwasababu tu ww huipendi CCM! Nadhani ungejua mm ni mfuasi wa Chama gani ungekaa kimya!
 
ila kumbuka kuwa kila binadamu ananjia yake pekee ya mafanikio,ulipo pitia wewe siyo sawa na atapo pitia mwingine,kwahiyo huwedhi tambua yawedha kuwa mwingine "ubishoo" ndiyo njia yake ya mafanikio na wala siyo kilimo
 
Sheshar ubishoo haiwezi kuwa njia ya mafanikio, believe me...
 
Best hujavuna! Story nyiingi jukwaani! Subiri mavuno! Ndo ulete feedback!! Ila hongera kwa Uthubutu!
 
Bado haujavuna mkuu don't count the chicks before they are hatched. Ni mfano mzuri anyway.Kila heri, nimejifunza kitu.
 
Vijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.

Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...

Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
.

Hongera kwa kuthubutu maana wasomi wa sasa wadhani kilimo ni kwa ajili ya ambaye hajasoma eti.

Wewe pia kwenu ni Tanga? Ukiwa Mbeya au Mkoa wa Njombe, Rukwa na sehemu chache sana za nchi hii mahindi yakichomoza unaweza kuwa na uhakika wa kuvuna kama mbolea na zana nyingine umeziandaa lakini kwa Tanga thubutu wasijekuchecha hao wa ustawi wa jamii kabla hata ya Mei hii maana mvua zikikata huko wiki mbili tu lazima ulie. Kama ni Lushoto walau waweza kuzungumza lakini subiri uvune na uleeleze umepata faida kiasi gani.
 
Kila mtu anang'ang'ania "bado sijavuna bado sijavuna", jamani utavunaje bila kupanda? mm najivunia kwasababu NIMETHUBUTU (kwa kupanda), na ww umeshathubutu kwenye eneo lipi???
 
Kajansi, Amicus Curiae, its a latin maxim inayomaanisha "a friend of the court", ndo mm sasa!
 
Back
Top Bottom