Ni njaa yake, kwani kwa hadhi yake alitakiwa kuliimbia taifa na si CCM na wanachama wake. Hao watoto wa shule wanatumiwa vibaya, kwanza wote ni wa kike halafu wakifeli wanataka waingie chuo kikuu kwa favour. Je, wote wamefika hapo au wengine wamekwama sehemu na pia je wote watarudi bila kupewa soseji na meat balls mbili!?