Hebu nitoeni ushamba

skull

Senior Member
Aug 18, 2016
157
104
Nina laptops aina ya Asus ni mini sasa Hdd yake ni kama 28 Gb nahitaji ku upgrade je hard disc zinaingiliana au zinatofautiana kutokana na mashine nahitaji ya 200Gb ebu nipeni na bei kabisa
 
Nina laptops aina ya Asus ni mini sasa Hdd yake ni kama 28 Gb nahitaji ku upgrade je hard disc zinaingiliana au zinatofautiana kutokana na mashine nahitaji ya 200Gb ebu nipeni na bei kabisa
Mi nilikua na HP yangu ulikua na Hard disk ya GB 500 nikaupgrade to 1TB haikuwa na tatizo,yan hata ukiweka 500gb cdhan kama ni tatizo
 
Unaweza badili bila shida, ila kutoka 28GB mpaka 200GB itakuwa slow, recommended hapo ni 64GB au maximum 128GB, ila km unaweza ongeza na RAM itakuwa vzr zaidi na haitaleta shida ukiweka 256GB
 
Unaweza badili bila shida, ila kutoka 28GB mpaka 200GB itakuwa slow, recommended hapo ni 64GB au maximum 128GB, ila km unaweza ongeza na RAM itakuwa vzr zaidi na haitaleta shida ukiweka 256GB
Ram ni 2Gb mkuu na 64bits ina run windows 10
 
Ram ni 2Gb mkuu na 64bits ina run windows 10
Kumbe unazungumzia hivi vimini laptop ambavyo vinafanana na ipad kubwa (10")
ahh hizo zinakuwaga na non removable HDD ila zinatoa extensio kupitia external memory
 
Used unaweza pata kwa Tsh 60-70 elfu (250GB) karume-machinga complex panda juu
 
zipo ide na sata na inaweza kuwa hdd au ssd au emmc. sababu hio windows ni 64bit (ya hivi karibuni) kuna uwezekano mkubwa hio ni emmc hivyo sahau ku upgrade. kwa uhakika zaidi eka full model ya hio asus
 
Back
Top Bottom