cherylsweet
Member
- May 28, 2014
- 15
- 6
- Thread starter
- #21
Mmmeachana kwa miezi 2 kwa kupotezana???
Gongwa ngozi acha masihara, ushafanywa kipozeo.
tuliachana kwa mwaka na nusu.
Mmmeachana kwa miezi 2 kwa kupotezana???
Gongwa ngozi acha masihara, ushafanywa kipozeo.
Ingawa sijaelewa kati ya wewe na yeye nani anaehitaji kushauriwa.
Ila ngoja nianze kama ifuatavyo, yawezekana jamaa anakupenda kiukweli lakini anaona wewe si waifu matirio kutokana na vigezo vyake ambavyo kajiwekea kuhusiana na mke anae muhitaji. Pia yawezekana alikokwenda ameona hapamfai na akaona wewe unaunafuu kuliko huyo alie mpata.
Nakushauri usiogope, kuwamjasiri, muite na uzungumze nae, kama akikubali kuishi na wewe, usione hatari kulamba matapishi kwakua nawe unaonekana kumpenda, then maisha yataendelea kama kawa na wenye kusema watasema alafu watanyamaza
Unajiona mjanja kwa sababu anakupenda wewe na anashindwa kumuacha huyo mwingine manake hajamkosea lolote? Hebu tumika, wacha kelele
Kwanza wewe muongo!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwanza shikamooni/marahabaa :smile:
Mie ndo mara ya kwanza kupost mada humu jamvini, yamenikuta.
Kuna kijana nampenda mnooo na yeye anajua hilo .
Hapo mwanzo tulikuwa wapenzi lakini kwa sababu zisizozuilika tukaachana tukaja onana tena miezi miwili imepita anasema ananipenda bado lakini ana mtu ambaye amempromise kumuoa .
Kwa mantiki hiyo basi anaugulia tuu hata usiku wa manane msg zatumwa na nini na nini lakini anasema hatuwezi kuwa pamoja.
Akinipigia simu ananambia nampa shida.
Anataka kumuacha huyo msichana lakini hajamkosea kitu anaogopa kumuumiza.
Ila yeye anaumia kwa kuwa hatupo wote.
Sasa nauliza kwani mapenzi yakoje?
Kuumiza mtu au kujiumiza mwenyewe?
kwanini apate shida while he is the decision maker? mwe :faint2:
sijajisifia nimesema hivi "anasema ananipenda"
sijajiona mjanja. simuelewi anachotaka. kwani amefikia hatua ya kunifwatilia nyendo zangu hadi kuchunguza simu zangu nawasiliana na nani. nami nimemwambia siwezi kuwa nae mpaka atakapoufanya maamuzi
anakufuatiliaje nyendo zako kama haujamuaga na kumuhusisha kwenye ratiba zako? mawasiliano yako anayapataje kama hujampa simu yako na access ya kujua unawasiliana na nani?
binafsi naamini unaweza mzuia mwanaume kuwasiliana na wewe ama hata kuendelea kukutongoza
Kwanza shikamooni/marahabaa
Mie ndo mara ya kwanza kupost mada humu jamvini, yamenikuta. Kuna kijana nampenda mnooo na yeye anajua hilo, hapo mwanzo tulikuwa wapenzi lakini kwa sababu zisizozuilika tukaachana tukaja onana tena miezi miwili imepita anasema ananipenda bado lakini ana mtu ambaye amempromise kumuoa .
Kwa mantiki hiyo basi anaugulia tuu hata usiku wa manane msg zatumwa na nini na nini lakini anasema hatuwezi kuwa pamoja. Akinipigia simu ananambia nampa shida. Anataka kumuacha huyo msichana lakini hajamkosea kitu anaogopa kumuumiza, ila yeye anaumia kwa kuwa hatupo wote.
Sasa nauliza kwanini mapenzi yakoje, kuumiza mtu au kujiumiza mwenyewe. Kwanini apate shida while he is the decision maker?