Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Mtu ana mgeni wake,let say Garryson, Garryson ni mwenyeji,mgeni wake Let say ni Bakari. Sasa katika meza moja mwanzoni walikuwa Garryson na Bakari wakibadilishana mawazo ya hapa na pale, mara anatokea binti Girlfriend wa Garryson, Abela na kujiunga katika ile meza. Mwishoni baada ya mazungumzo wakati wanajitayarisha kuondoka, Garryson alitaka kumsindikiza Bakari kituoni, Garry anamtaarifu Abela kwamba anamsindikiza mgeni wake kituoni lkn Abela hakutaka Garry amsindikize anataka asindikizwe yeye,mara Garry anamwacha/anaachana na mgeni Bakari pale mgahawani na kumfuata Abela wake na kuelekea katika safari zao.
Je ni halali kwa Garryson kuachana na mgeni wake Bakari bila kumfikisha kituoni na kumpa kipaumbele mpenzi wake Abela?
Kama Abela akiwa mke itafika mahali hata mume wake hataweza kumsindikiza mgeni yeyote mahali. Hii tukio nimeliona live.
Je ni halali kwa Garryson kuachana na mgeni wake Bakari bila kumfikisha kituoni na kumpa kipaumbele mpenzi wake Abela?
Kama Abela akiwa mke itafika mahali hata mume wake hataweza kumsindikiza mgeni yeyote mahali. Hii tukio nimeliona live.