Judgement acha tuviumie maana vimezoea kubebeshwa zege,kwa hiyo ndio maana zuma anazomewa lakini hivi kuna juisi ya saruji,jf raha sana hahahaaaaaa
Hata wewe mukubwa ?
pamoja kaka mkubwa...Tuko pamoja mwanajeshi wangu !
"hewa nguvu moja" ndo kwa kilugha cha kwetu,
.......................
Na hapo kibamba ccm bado uko hapo,
Kwa kuwa nimekubamba unaweza kuniambia
ni barabara au kitalu namba ngapi.
Au weye ndo mwenye ile bichi ya mitaa hiyo?
Nahitaji free pass ya mwaka mpya.
Nimefungua kamusi natafuta jibu sahihi nitarudi
Kwa sasa sipo tena Kibamba Mamndenyi . My currently resident is Rock Ciry !
Hapo nilikuwepo early 90"s .
Ukitokea Kibamba C.c.m unateremka kama unarudi Gogoni au Tumbi , mbele kidogo kuna kibao cha shule , unakipita kidogo unafika bondeni na konani , hapo ndy nilipokua nikiishi . Unao uenyeji kidogo na eneo hilo ?