Hebu muache kutuleteeni ujinga

Hebu muache kutuleteeni ujinga

Kutwa kuakaa kusifia mademu na ngono zao.
Kwenu men.

Kutwa kusifia miboo mikubwa na ngono za kuwapeleka puta.
Kwenu women.

Alafu unakuja kulalamika... Ndoa chungu" na vikauli kibao vya kuikosoa ndoa.

Kwa akili hizo ndoa yako itakuwa nzuri na itadumu kweli.

Tokeni hapa msituchanganye sie.

Cc. Chivundu, ShesRise_1, Grahams, gwapole
Logic yako ipo wapi kwenye ndoa..?
Hoja yako ya msingi ni ipi?
 
Wewe ndio unajipa umuhimu
Umeona mimi ni ki ku quote popote sio wewe mwenye kihelele mkuu?

Acha mambo ya kike

Humu jukwaani nitafanya navyotaka na hakuna kitu utafanya utaendelea kubweka huko nyuma ya keyboard
ukiniquote hata mara mia naanzaje ku react si maamuzi yako mm yananihusu nini?

kufanya unavyotaka ni kama alivyofanya mleta mada, amekuqoute na huna cha kumfanya.
 
Hicho ndio kiunganishi kikuu cha ndoa,

Sasa wewe unataka wawe wanajadili mada za issue za kwenye ndoa zao watakua wanakula Wali na maharage au Ugali na mchicha?
Mwanaume.,.
Moja kati ya vitu vinavyovunja ndoa ni wanawake wa nje(mitaani au barabarani)
Unakuta jamaa ameoa, lakini akikaa na jamaa zake ambao hawajaoa, anaanza
Kusifia mademu wakali na mengine mengi ya kipuuzi.
Utasikia
"aise yule demu namkubali kinoma".
"aah, me napenda demu mwembamba".
"jana amina alinikonyeza mwanangu"
"alo, sipendagi demu mwenye mawenge".
Yote hayo anasema, huku anamke nyumbani.

Kwa mwanamke sijui. Ila lazima wakikutana mwenyewe kuna mambo ya kipuuzi wanajadili. Wanasahau wapo kwenye ndoa.
 
Kwa sababu ndio mada nyepesi isiyochosha ubongo.
Sasa hayo mambo wawaachie ambao hawajaoa na ambao hawajaolewa.

Yaani mfano mwanaume alieoa akiwa mtaani na wanaume wenzake ambao hawajaoa, akapita demu, mashkaji wakimsifia, na yeye akaungana nao.. Lazima akili yake itahamia kwa yule demu na kumsahau mkewe.
Sasa akirudi nyumbani, anaanza kumuona mke wake wa kawaida, kisa anaona nje kuna pisi kali zaidi ya mkewe. Na hapo ndo ndoa inapoingia matatani. Maana mambo mawili makubwa yatakayotokea ni:-
Heshima kushuka
Michepuko
 
Sasa hayo mambo wawaachie ambao hawajaoa na ambao hawajaolewa.

Yaani mfano mwanaume alieoa akiwa mtaani na wanaume wenzake ambao hawajaoa, akapita demu, mashkaji wakimsifia, na yeye akaungana nao.. Lazima akili yake itahamia kwa yule demu na kumsahau mkewe.
Sasa akirudi nyumbani, anaanza kumuona mke wake wa kawaida, kisa anaona nje kuna pisi kali zaidi ya mkewe. Na hapo ndo ndoa inapoingia matatani. Maana mambo mawili makubwa yatakayotokea ni:-
Heshima kushuka
Michepuko
Unaongea point sana, ebu njoo hapa kwa mangi tutete jambo la kujenga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom