Emily magnus
JF-Expert Member
- Apr 7, 2026
- 821
- 1,501
- Thread starter
- #21
Inasikitisha sana.kamsemee kwa babaake
Inasikitisha sana.kamsemee kwa babaake
kwani sasa waanze kujadili mambo ya faragha kwa ubaya?Hicho ndio kiunganishi kikuu kwenye ndoa
Wacha wee!!..Ananitafuta la rohoni nikisema hapa nitatungiwa jina we mwache aendelee
Watu tusijadili
yeye kama nani si atembelee majukwaa ya uchumi kama uchumi umemchumu
Kushikwa bega ashikwe yeye makasiliko alete jeyihefu eboooo
Yaan kuna vjana wakizungumza kuhusu ndoa... Mpaka utawaonda huruma. Ukimkuta kwenye swala kuchakatana(kujamiiana)... Mpaka unawaza huyu atakuja kuoa/kuolewa kweli huyu?Mkuu umeamka kuwanyoosha Leo. Vijana wako paralysed by ngono.
Ndio ndio.Mkuu uko sahihi sana na una hoja kubwa.
Kwa sababu ndio mada nyepesi isiyochosha ubongo.kwani sasa waanze kujadili mambo ya faragha kwa ubaya?
mm hua sielewi jambo, hv n mm pekee yangu naiona jf kama sehemu yangu ya ku-refresh tuu hvy siwez kuwa serious na mambo ya humu au tatizo n nn?Mbaga unaona mdogo wangu?
Inasikitisha sana. 🤣Yaan kuna vjana wakizungumza kuhusu ndoa... Mpaka utawaonda huruma. Ukimkuta kwenye swala kuchakatana(kujamiiana)... Mpaka unawaza huyu atakuja kuoa/kuolewa kweli huyu?
Yaan huyu dada yako ananikasirikia bila sababu, mpaka najionea huruma.mm hua sielewi jambo, hv n mm pekee yangu naiona jf kama sehemu yangu ya ku-refresh tuu hvy siwez kuwa serious na mambo ya humu au tatizo n nn?
mbona watu wanachukulia mambo ya huku serious sana hvy, hv mtu anawezaje kukasirika kisa mada za wengine ambazo yeye hazimuhusu
Hahaha mboni km sijaelewaTokeni hapa msituchanganye sie.
Oya ninapita ila sijakushika begaAnanitafuta la rohoni nikisema hapa nitatungiwa jina we mwache aendelee
Watu tusijadili 🍆🍑 yeye kama nani si atembelee majukwaa ya uchumi kama uchumi umemchumu
Kushikwa bega ashikwe yeye makasiliko alete jeyihefu eboooo
labla anakupendaYaan huyu dada yako ananikasirikia bila sababu, mpaka najionea huruma.
Ila nitakuja kumnyuka bakora siku moja huyu... Tena za kwenye maketio.
mkuu ni kuwa tagged tu ndo unakoroma hivyo au una sababu zako nyingine tu? maana umemkomalia mwamba as if wewe ni special hapa jf...Wewe unaniuliza kama nani ?
naomba usini tag tena 🙏
Wewe kukoroma hapa ni kwa sababu nime mjibu mtoa mada au una sababu zako nyingine?mkuu ni kuwa tagged tu ndo unakoroma hivyo au una sababu zako nyingine tu? maana umemkomalia mwamba as if wewe ni special hapa jf...
Hayakuhusu pita hivi 🫴hizi fake Ids unatoa wapi u~special na u~serious huo🚮🚮
univunjie heshima unanijua? vunja basi hiyo heshima maana ndo akili yako ilipoishia... wewe ndo naona unajipa umuhimu as if tunakujua 🚮Wewe kukoroma hapa ni kwa sababu nime mjibu mtoa mada au una sababu zako nyingine?
Hayakuhusu pita hivi 🫴
Hii ni pilipili usioila ila ni kama inakuwasha vilivyo
Nadhani sijawahi kukuvunjia hishima popote stop ku ni quote kwa mambo yasio kuhusu maana mi pia sijawahi kuku quote popote Almsiki🤝
Kuna namna watu mnapenda kujipa umuhimu sana maana hii issue haikuhusu hata chembe👍
Wewe ndio unajipa umuhimuunivunjie heshima unanijua? vunja basi hiyo heshima maana ndo akili yako ilipoishia... wewe ndo naona unajipa umuhimu as if tunakujua 🚮
hili ni jukwaa huru, hakuna watu special wasiotakiwa kuwa tagged, hasira, ukubwa na visirani vya uraiani unaviacha hukohukoWewe kukoroma hapa ni kwa sababu nime mjibu mtoa mada au una sababu zako nyingine?
Hayakuhusu pita hivi 🫴
Hii ni pilipili usioila ila ni kama inakuwasha vilivyo
Nadhani sijawahi kukuvunjia hishima popote stop ku ni quote kwa mambo yasio kuhusu maana mi pia sijawahi kuku quote popote Almsiki🤝
Kuna namna watu mnapenda kujipa umuhimu sana maana hii issue haikuhusu hata chembe👍
Kama ni jukwaa huru kwanini unataka kunipangia cha kufanya ?hili ni jukwaa huru, hakuna watu special wasiotakiwa kuwa tagged, hasira, ukubwa na visirani vya uraiani unaviacha hukohuko