Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,792
nitumie namba yako nikushauri kwa njia ya whatsapp na video
Video conference
nitumie namba yako nikushauri kwa njia ya whatsapp na video
Achaa UK...
Mimi ni msichana wa miaka 21
ninampenzi wangu tumekaa naye mwaka wa tatu sasa, ninampenda sana na
ninamjali
Mpenzi wangu ananihudumiaga kila ninachitaka, ila nimepata mpenzi
mwingine kwenye instagram, anasema ananipenda sana.
Ebu niambieni, ila naona huruma kumuacha mpenzi wangu huyu kwasababu
ananifanyia kila kutu, ila wa Facebook pia nampenda
#Nushaurini
je? Nimuache au maana nimechoka sasa kuwaza
Stories za kufikirika yaan zinaboa kama hivii yaani!!
Mtu anakaa anawaza tu sijui nianzie uzi gani, matokeo yake pumba kama hizi.
Kwani usipoanzisha uzi utaharisha au utaumwa kifaduro? Wanaboa for really