Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,317
Kuna wakati niliwahi kuhoji mmiliki wa Gazeti duni la Wamachinga , nililistukia kutokana na mwenendo wake , kiukweli gazeti hili na mengine kadhaa bila shaka yanaendeshwa kwa ruzuku maalum , mithili yale Magazeti ya Musiba , maana hakuna anayeyanunua popote Tanzania.
Hebu someni walichoandika halafu toa maoni yako , Magazeti mawili mwandishi mmoja ! Aibu sana !
Hebu someni walichoandika halafu toa maoni yako , Magazeti mawili mwandishi mmoja ! Aibu sana !