Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,400 May 4, 2011 #1 hiki nacho ni kipaji au sifa zimezidi...
T tizo1 JF-Expert Member Mar 9, 2011 856 145 May 4, 2011 #2 Huyo sifa hana kipaj chochote huyo!kuna uwezekano huyo ni kula kulala ndo mana ana muda wa kufanya upumbavu!
Huyo sifa hana kipaj chochote huyo!kuna uwezekano huyo ni kula kulala ndo mana ana muda wa kufanya upumbavu!
wapalepale JF-Expert Member Mar 21, 2011 259 56 May 4, 2011 #3 tizo1 said: Huyo sifa hana kipaj chochote huyo!kuna uwezekano huyo ni kula kulala ndo mana ana muda wa kufanya upumbavu! Click to expand... tena yaelekea an deka sana kwa mzee wake asipo nunuliwa nguo za thukukuu analia na kula hali siku hiyo
tizo1 said: Huyo sifa hana kipaj chochote huyo!kuna uwezekano huyo ni kula kulala ndo mana ana muda wa kufanya upumbavu! Click to expand... tena yaelekea an deka sana kwa mzee wake asipo nunuliwa nguo za thukukuu analia na kula hali siku hiyo
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,779 May 4, 2011 #4 wanaita 'sifa za kijinga',kumbe wazungu nao crap eeh?
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 203 May 4, 2011 #5 Ni mashindano au?maana mpaka lije kuisha lazima aji**ee
I IPECACUANHA JF-Expert Member Feb 19, 2011 3,216 1,906 May 8, 2011 #7 Toto tundu akikua ataacha. Hama kipaji chochote hapo ni mwendo wa kugonga kwa wingi kila kitu....Chakula na Pombe.
Toto tundu akikua ataacha. Hama kipaji chochote hapo ni mwendo wa kugonga kwa wingi kila kitu....Chakula na Pombe.