Welcome back mkuu. Naomba kuuliza je wewe ungependelea muungano wetu uwe wa aina gani je unaafiki tuwe na serikali 2,3 au 1. Natanguliza shukrani mkuu.
Welcome back mkuu. Naomba kuuliza je wewe ungependelea muungano wetu uwe wa aina gani je unaafiki tuwe na serikali 2,3 au 1. Natanguliza shukrani mkuu.
Huyo dogo maisha standard kayapata baada ya ndomo kubahatisha...
Hajui maisha mazuri maana yake nini na huo ushamba unamdhalilisha japo hajatambua hilo..
Tuwaonee huruma lakn si unajua kuanza kula mkate wa blue band ukubwani ni shidaaa?
Teh teh teh
Huyo dogo maisha standard kayapata baada ya ndomo kubahatisha...
Hajui maisha mazuri maana yake nini na huo ushamba unamdhalilisha japo hajatambua hilo..
Tuwaonee huruma lakn si unajua kuanza kula mkate wa blue band ukubwani ni shidaaa?
Teh teh teh