Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
ha haaa, kujipendekeza muhimu, lol!ila hakuna adhabu kubwa kwa mwanamke kama kumpenda mwanaume huku duniani aisee..hata biblia imeagiza wanaume ndo watupende ukikiuka hili agizo utajutaje? unamnunulia dada wa watu zawadi while dada yako hata hajulikani? teh kwi kwi kwiii
nashukuru enzi hizo sikuwa hata na ya kumnunulia huyo ndugu zawadi ya maana. ni post cards tu, tena mara nyingi nilikuwa nachora mwenyewe, ha haaa...... so childish yet so romantic..... mwenyewe anazo hadi leo basi akiamuaga anazikurupua huko alikozificha na kuanza kunitania nazo