Heartbreaking! Read Bollywood actress Jiah Khan's suicide letter ..

Heartbreaking! Read Bollywood actress Jiah Khan's suicide letter ..

Mtu kuwa suicidal ni condition
alihitaji medical treatment...

kumponda humu ni kuonesha tu ignorance yenu
na masuala haya
haya huyu mwanaume hastahili lawama kabisa

huyu dada alikuwa tu sick....
 
ila hakuna adhabu kubwa kwa mwanamke kama kumpenda mwanaume huku duniani aisee..hata biblia imeagiza wanaume ndo watupende ukikiuka hili agizo utajutaje? unamnunulia dada wa watu zawadi while dada yako hata hajulikani? teh kwi kwi kwiii

It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long
 
nini bwana na wewe? mtu atajiuaje kizembe hivi?
Mtu kuwa suicidal ni condition
alihitaji medical treatment...

kumponda humu ni kuonesha tu ignorance yenu
na masuala haya
haya huyu mwanaume hastahili lawama kabisa

huyu dada alikuwa tu sick....
 
Jamani wanaume wote hawa! Mie ni UKIMWI tu unaonituliza vinginevyo wangejiua wao, shit!!

You said it all!! Yaani hivi kweli kuna mwanamke inapita siku hujarushiwa nanga? Nijuavyo mimi kwa uzoefu hasa wanawake wenye sura za kuvutia huwa ndoana haziishi kutupwa. Sasa ni ya nini kukazana na mwanaume hana mpango na wewe? Kweli mapenzi ni kipofu!!! Ninapenda kuishi hata mwanamke wa ndoa anikimbie itaniuma ila kufa hapana. Raha nimwachie nani? Nimehangaika kupata maisha halafu unaniletea za kuleta? Tupa kule lete mwingine, alaaah.
 
ndio tatizo la kufanya happiness yako itegemee binadam mwenzako!
 
Wanaume siyo Dili Kabisa, kina Dada hili INABIDI mlielewe, R.I.P Beauty
 
haya maisha yalivyo matamu hivi!
ehehheheh with or without a man!
BADO MIMI NA MAISHA YANGU TUNA THAMANI SANA !i see!
MNO!
uuuwih!
nayapenda kweli mapenzi lakini si kiasi cha kuyachukia maisha na mimi mwenyewe!
 
Mtu kuwa suicidal ni condition
alihitaji medical treatment...

kumponda humu ni kuonesha tu ignorance yenu
na masuala haya
haya huyu mwanaume hastahili lawama kabisa

huyu dada alikuwa tu sick....

kuna mtu aliwahi kuniambia uamuzi wa kujiua hauji ghafla!
ndicho unachojaribu kusema?
is it a procedural activity?
kuna stages?
unaweza kuspot mtu aliye katika hatari ya kujiua?
unaweza kuwa umeshaingia kwenye mchakto wa kujiua na ukaishia kati au ndo ukianza ni ntolee!?
 
kuna mtu aliwahi kuniambia uamuzi wa kujiua hauji ghafla!
ndicho unachojaribu kusema?
is it a procedural activity?
kuna stages?
unaweza kuspot mtu aliye katika hatari ya kujiua?
unaweza kuwa umeshaingia kwenye mchakto wa kujiua na ukaishia kati au ndo ukianza ni ntolee!?


Mtu anakuwa tayari na condition inayoweza kumpekea kujiua
pengine hata kabla yuko single na hana mpenzi
si akija kujiua huku ameacha barua akieleza sababu ni mpenzi kafanya hivi
hii huwa sio sababu yenyewe...hii ni mental case problem

wengi wanaokuja kujiua huwa wanazungumza kama utani
kama ahh ikiwa hivi bora nijiue au nitajiua mimi..
au wengine huwa so quiet wakiwa kwenye maumivu
 
Mtu anakuwa tayari na condition inayoweza kumpekea kujiua
pengine hata kabla yuko single na hana mpenzi
si akija kujiua huku ameacha barua akieleza sababu ni mpenzi kafanya hivi
hii huwa sio sababu yenyewe...hii ni mental case problem

wengi wanaokuja kujiua huwa wanazungumza kama utani
kama ahh ikiwa hivi bora nijiue au nitajiua mimi..
au wengine huwa so quiet wakiwa kwenye maumivu
nakuelewa
hii case inanikumbusha rafiki yangu mmoja alijiua tukiwa sekondari!
th guy was full of life!aliachwa na msichana akajiua!was a boy kila msichana wa shuleni kwetu na za jirani wangewish kuwa kweny nafasi ya huyo msichana aliyefanya ajiue!
dah!wengine husema pepo la kujiua likikusimamia ni lazima ujiue!
 
ndio tatizo la kufanya happiness yako itegemee binadam mwenzako!

hapo ndo shida!
huwa tunaamini tukiwa mapenzini hatuna nafasi ya kuwa sisi!
yani mwali yeye au snowhite yeye!
tunapenda kiasi cha kujisahau nafsi zetu!
ngumu sana hii!
kujipenda kunatafsiriwa kama ubinafsi!
 
ndo hasara za kujitumbukiza mzima mzima kwa mwanaume...mapenzi mengine unaweka akiba
rip mwenzetu inauma sana ila ulienda mbali
ungesubiri maybe ambae angefata angekuwa mzuri zaidi
ila mimi hata niachwe vipi sijiui aisee!nitabanana hapa hapa...

Nmeipenda hii-rib cracking

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yeah I heard about this so sad. But its a good lesson to all of us. Both the loved one to learn to appreciate the love we are being given and for those who love, learn not to love too much.....especially where you see there is a sign of a lost battle.
 
Apumzike kwa aman dah.! I wonder why dunia haipo fair,Tuombe Mungu hasa vijana kuchit in relation isiwe daily rooten jaman..make sure u have a determination ili ucje engage ktk mahusiano kwa mtu asiye chaguo lako nadhan hii itapunguza chtng n lies japo c sana.. So pain
 
Back
Top Bottom