Heartbreak 💔

Heartbreak 💔

Mimi deki nishapiga sana. Kuanzia tiles mpaka Zege. Sana yani ila ndio hivyo nikaishia kuambulia kibuti 😂.
Nawapenda wapiga deki kwakweli 😹😹 sema haikua riziki Kwa mkeo😹 ngoja nitafute niisome
 
Just imagine husband wako ana survive kupitia nyota yako alafu anakutesa ndani kila siku vipigo, for eg Ata ukipata kazi mshahara wote kwisha.

Lol kaa mbali na iyo ng'ombe afu 50/50 my dear future husband kwakweli be responsible lol! Ukitaka msaada ntatoa in anyway possible.

Offline till further notice 💔💔💔.

Nb;mm ni mganga so nimejua aache vyupi na nguo zangu
Njoo inbox nikunong'oneze jambo
 
Hata Anna naye hana mambo mengi, tena kasema anapenda kwendewa uvinza na wewe ukasema ndio maeneo yako huko..!!

Huoni km ni watu mnaofanana tabia ma mitizamo? 😹😹
Kanikataa kipensi😹😹😹
 
Just imagine husband wako ana survive kupitia nyota yako alafu anakutesa ndani kila siku vipigo, for eg Ata ukipata kazi mshahara wote kwisha.

Lol kaa mbali na iyo ng'ombe afu 50/50 my dear future husband kwakweli be responsible lol! Ukitaka msaada ntatoa in anyway possible.

Offline till further notice 💔💔💔.

Nb;mm ni mganga so nimejua aache vyupi na nguo zangu
Sasa ukikosea usipigwe who are you. 🤜 Humu tu
 
Back
Top Bottom