Akichangia katika Mkutano Mkuu wa Taifa wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania Bara _ TAHOSSA unaoendelea mjini Dodoma katika ukumbi wa Chuo cha Mipango.
Mkuu huyo alisema Serikali ya CCM imeshidwa kabisa kutoa ruzuku za kuendesha shule zake kwa wakati na kwa kiwango kinachositahili na kusababisha wanafunzi kuishi maisha magumu, akiongea kwa uchungu huku akishangiliwa na wakuu wa shule wenzake aliwakosoa kwa kiwango kikubwa watendaji wa Wizara ya Elimu na Halmashauri nchini kwa kushindwa kuzihudumia shule.
Baada ya kumaliza kuongea aliombwa na Mkurugenzi wa Elimu Sekondari kutaja jina lake na shule anayofundisha.
Baada ya kumueleza kuwa yupo Karatu Sekondari, wajumbe walizidi kumshangia na wengine kumpa mikono ya kumpongeza baada ya kumaliza kuongea.
Akifungua Mkutano huo wa siku 3, Waziri wa Elimu Dr. Kawambwa aliwaambia kuwa Mbowe na wenzake hawasitahili kumbebesha lawama juu ya kufanya vibaya kwa shule za sekondari kwani walishazikabidhi TAMISEMI tangu 2008.
Aidha aliwakumbusha kuwa kuendelea kumuita ni mzigo katika wizara hiyo kunatokana na watendaji wa wizara yake kuwa mizigo na atahakikisha anasafisha wizara kabla ya kusafishwa yeye.
Mkutano huo utamalizika kesho jumamosi mchana.
Mkuu huyo alisema Serikali ya CCM imeshidwa kabisa kutoa ruzuku za kuendesha shule zake kwa wakati na kwa kiwango kinachositahili na kusababisha wanafunzi kuishi maisha magumu, akiongea kwa uchungu huku akishangiliwa na wakuu wa shule wenzake aliwakosoa kwa kiwango kikubwa watendaji wa Wizara ya Elimu na Halmashauri nchini kwa kushindwa kuzihudumia shule.
Baada ya kumaliza kuongea aliombwa na Mkurugenzi wa Elimu Sekondari kutaja jina lake na shule anayofundisha.
Baada ya kumueleza kuwa yupo Karatu Sekondari, wajumbe walizidi kumshangia na wengine kumpa mikono ya kumpongeza baada ya kumaliza kuongea.
Akifungua Mkutano huo wa siku 3, Waziri wa Elimu Dr. Kawambwa aliwaambia kuwa Mbowe na wenzake hawasitahili kumbebesha lawama juu ya kufanya vibaya kwa shule za sekondari kwani walishazikabidhi TAMISEMI tangu 2008.
Aidha aliwakumbusha kuwa kuendelea kumuita ni mzigo katika wizara hiyo kunatokana na watendaji wa wizara yake kuwa mizigo na atahakikisha anasafisha wizara kabla ya kusafishwa yeye.
Mkutano huo utamalizika kesho jumamosi mchana.