He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

Hapana unakosea mkuu sio kwamba siivi nae labda kama yeye haivi na km
mi am all okay but it doesn't mean kwamba I can torelant ujinga anaofanya
Anaigiza sana maisha n that to me is boring aisee
I understand kwa baadhi ya watu ni poa n I respect that but trust men"always wasiojua ndo hutunisha kifua kama batamzinga"
Anasaka umaarufu mavi sana

Ok,sorry mkuu wewe ni wa kiume au kike

kama ni wa kiume unaidhalilisha jinsia yako kupambana na mwanamke. Mwanaume huwezi kua na bifu na mwanamke,huwezi kua unajibizana na mwanamke huyo huyo kila mada. Hata km yy ana matatizo ila atakaeonekana ana matatizo zaidi ni ww. Km huwez kubadilisha maisha yake na hakuhusu muache aish anavyotaka. Km ww ni mwanaume kua mwanaume.

Kama wewe ni wa kike sawa,maana inawezekana mkawa mnagombea mume au vngnevyo. Ila km mtu hakuhusu u beta leave her alone with her life,afake asifake n yeye maana hakuzuii ww kufanya yako..

Ushauri wangu. Acheni kila mtu aish anavyotaka,aandike atakavyo,ajisifu atakavyo maana hakuna mtu analisha mwenzake hapa.. Km unangoja usifiwe utasubiri sana,karne ya 21 ni kujipa promo mwenyewe..kibaya chajiuza kizuri chajitembeza.
 
sawa ila zingatia yafuatayo
1:hata kama mrefu no free p
2:uwe mrefu ndani na nje...silagi bamia zinateleza
3;urefu haulipi bills

Hayo yote uliyoyaorodhesha yapo na yanatekelezeka.

Kuna lingine?
 
Hahahaaaaaaa! Huna lolote! Unataka kufunga goli la kisigino mbele yetu makipa kina Cassilas, Dogo Christian Ronaldo utulie! yaani uokote fuko la hela kwenye maandamano lazima niteme sumu!

Ha ha ha ha ha! Naona unataka kunipeperushia ndege wangu.

Kwa sasa naomba uniweke kwenye "ignore list" yako hadi nimalizane na masai dada.
 
Last edited by a moderator:
ma-tomboy ndio wana tabia za kibabe kama huyo..
Weee binti weeee! You cant be picking a nevr ending War can you? Embu clarify did you just call me tom boy? Au ni kwamba niekose kukusoma in between the lines? You better not have! Nangoja hiyo clarification!
 
Hahaaaaaa! MuuLIZE WEWE HUYO AUNT! Afu YUPO IN MY IGNORE LIST!
Mimi wwnzenu KUJIKOMBA KOMBA KUMLAMBA MTU MIGUU SIWEZI JAMANI! Aaaah! Im not that cheap! Mtu akini igonre kidogo tu SIKANYAGI KWENYE THREAD ZAKE, kuna haters nawaheshimu sanaa humu! They are too Expensive kusoma nachoandika lazima wasome hilo halina ubishi atleast wanabakia kama anonymous.
ILA MIBOZO KAMA HILO NDO INANITIA KIBURI SI UTANI, SABABU NAWAWEKA KWENYE IGNORE LIST, NAWAIGNORE, NAWATUKANA KWENYE MAIN TOPIC, NAWA DIS KWENYE COMMENT, NAWACHAMBA, NAWASUTA NAWAFANYA NACHOJISIKIA NA LAZIMA NIKIANZISHA UZI WAJE WASIGN IN, WATOE LIKES ZA KUTOSHA NA KUNIJAZI COMMENTS,! Hapana chezea mimi her majesty the queen myself!

LARA 1 ANA KIBURI NA DHARAU KUMBE MNANIPA WENYEWE CONTROL NA UWANJA WA KUWAFANYA NACHOJISIKIA! If things re,ain like this i will always remain HER MAJESTY IN MMU!
Boya mwenzi eti modes wameniambia siruhusiwa ku m PM as if nimewahi kuwa na huo mda mchafu wa kum PM FREE P yule! Nikacheka tu kwa masikitiko! Ni sawa na kumwambia Mswahilia asile kitimoto, sana sana umempunguzia dhambi tu!
THAT IS THE WORLD WE LIVE IN MMU AND I DONT LIKE IT BUT I LOVE IT!

Ishi utakavyo,andika utakacho,fanya utakayo,jipe promo utakavyo so far hakuna anaekulisha humu.
 
Last edited by a moderator:
Kwann uwachagulie watu vitu vya kusoma?
As long as ushakua member w Jf na una post mahali husika yyte na muda wwte atacomment according to his/her views
the funny thing is unataka kuwashika watu masikio
And anyone mnayepishana nae mitazamo u call him/hater n that's is how stupid u r
But remind u one thing kupishana na mtu mitizamo au misimamo haimaanishi harespect comment au post/mitazamo/misimamo yako after all there is nothing he/she can do to change that kama hauko tayari
Call me hater call me old fashioned call me mshamba fine but trust me u r just faggot another bongo movie drama n middle fin.ger to all fake divaZ kama we we!
Gracias muchas

Easy easy bro!
 
Ok,sorry mkuu wewe ni wa kiume au kike

kama ni wa kiume unaidhalilisha jinsia yako kupambana na mwanamke. Mwanaume huwezi kua na bifu na mwanamke,huwezi kua unajibizana na mwanamke huyo huyo kila mada. Hata km yy ana matatizo ila atakaeonekana ana matatizo zaidi ni ww. Km huwez kubadilisha maisha yake na hakuhusu muache aish anavyotaka. Km ww ni mwanaume kua mwanaume.

Kama wewe ni wa kike sawa,maana inawezekana mkawa mnagombea mume au vngnevyo. Ila km mtu hakuhusu u beta leave her alone with her life,afake asifake n yeye maana hakuzuii ww kufanya yako..

Ushauri wangu. Acheni kila mtu aish anavyotaka,aandike atakavyo,ajisifu atakavyo maana hakuna mtu analisha mwenzake hapa.. Km unangoja usifiwe utasubiri sana,karne ya 21 ni kujipa promo mwenyewe..kibaya chajiuza kizuri chajitembeza.

Hahaaaaaaaaaaaaa! Anaweza kuwa 2 in 1 bila shaka! Unapoteza tu nguvu zako bure! EMBU MWACHE ANIJAZIE COMMENT, ANICHANGAMSHIE THREAD, ANI WORSHIP HER MAJESTY THE QUEEN MYSELF!

Ukiendelea kuhubiri hizi siasa zako in a very short while WHO WILL I BE QUEEN TO? Maan watu kama huyo ndo WANANIWEKA JUU HUMU MMU! Wakitupa silaha chini wakafanya yao, my EMPIRE IN MMU ITAPOTEZA MVUTO WAKE NA KU COLAPSE EVENTUALLY!

THIS IS WAR BETWEEN ME N THEM! EITHER ME OR HATERS WANGU IF ANYBODY WILL DIE, CERTAINLY THEY WILL DIE WITH HONOR FIGHTING TO TILL THE END! TO LEAVE ME ALONE NA KUFANYA YAO WILL BE VERY UN PATRIOTIC FOR A HATER, THEY SHOULD FIGHT FOR WHAT THEY HATE TILL THE HAND! STOP HATING IS A HIGHEST FROM OF SELF BETRYAL!

AND I CANT STOP PROVOKING THEM! ENDING THIS WAR IS LIKE ENDING MY FAME! Nilikuwa ban, nimerudi narudisha ratings zangu juu! Who better to use as a scape got than HATERS? I WILL KEEP RULLING, PROVOKING THEM AND THE WAR MUST GO ON FOR EVERY BODYS BENEFIT! Bila kuwa hater wa Lara 1 mngemjua? Unaona sasa? THIS WAR IS NOT ENDING TODAY OR ANYTIME SOON!
 
Kwann uwachagulie watu vitu vya kusoma?
As long as ushakua member w Jf na una post mahali husika yyte na muda wwte atacomment according to his/her views
the funny thing is unataka kuwashika watu masikio
And anyone mnayepishana nae mitazamo u call him/hater n that's is how stupid u r
But remind u one thing kupishana na mtu mitizamo au misimamo haimaanishi harespect comment au post/mitazamo/misimamo yako after all there is nothing he/she can do to change that kama hauko tayari
Call me hater call me old fashioned call me mshamba fine but trust me u r just faggot another bongo movie drama n middle fin.ger to all fake divaZ kama we we!
Gracias muchas

Easy easy bro!
 
Sijui enzi zile za wanaume kuvaa Raizon zitarudi lini?! Maana sisi wafupi kazi tunayo!
 
EMBU SOMA COMMENT YAKO YA KWANZA KAMA UMEJIBU NILOCHOKIANDIKA.?

We si ulikuwa unanifanyia CHARACTER ASSESMENT na kujifanya jaji wa kujua sanaaaa kugroup watu? Sasa ukigrupiwa na wewe UTULIE KAMA UNANYOLEWA NA TOPAZ!

Utanifurahisha kwa lipi labda? MWENYEWE NISHAWAAMBIA NAANDIKA NACHOJISIKIA SIO KUWAFURAHISHA NYIE! Kwa hio HATUFURAHISHANI,! Hahaaaaaaaaaa! (Nacheka kama mazuri vile!)

Na huo mstari wa mwisho DONT BE SO SENTIMENTAL! Being a hater is not that bad! I THINK I NEED NEW HATERS BECAUSE MOST OF MY OLD HATERS HAVE BECOME OBSOLETE, HYPOCRYTICAL AND HAVE BEGAN TO LIKE ME!

Though ukigraduate from dislike to a HATER usiwe HATER MSENGEREMA, BE A TRUE HATER WITH CLASS AND STANDARDS KAMA grafani11. A true hater! Hawezi kucomment uzi wangu hata iweje come january come december! Na mimi siwezi kucomment kwake, wala hawezi kuniquote, mention wala kulike! Namimi ni the same.Mtu akimchamba lazima NITOE LIKES za kutosha! Hahaaaa! Mda mwingine NA LIKE his post just to disturb the peace! (Sometimes you need to check on your haters! Lol!) HE HATES ME I HATE HIM BACK NA HAYUPO IN MY IGNORE LIST! HE IS TOO EXPENSIVE TO IGNORE! Sio unakuwa Hater mara unalike, unajifosisha ku comment, kuniquote wee wakati uko IGNORE LIST sioni unacho andika! AM I THAT IMPORTANT TO YOU? Hahahaaaaa! Mda mwingine nasikitika tu! Ila nashukuru it makes me wonder WHAT WILL BE THE END!?

We dem limbukeni sana kwahyo MTU akicomment au kulike comments au post zako basi kajifosisha?duuuuu
Kuna ulazima gani Wa MTU kua hater?I don't real blv if j km the real definition of hater maana kwako.MTU akiwa against u in some ways tahari hater duuu kazi IPO malimbukeni wetu hawa
 
Last edited by a moderator:
Weee binti weeee! You cant be picking a nevr ending War can you? Embu clarify did you just call me tom boy? Au ni kwamba niekose kukusoma in between the lines? You better not have! Nangoja hiyo clarification!

ni mtazamo tu..sio kila kinachomentiwa hapo kusu wewe ni kweli hata wee unajua hilo no matter how much people can describe u.. u'll remain the way u are.. mi ntakuwezea wapi bi dada weye..
 
ni mtazamo tu..sio kila kinachomentiwa hapo kusu wewe ni kweli hata wee unajua hilo no matter how much people can describe u.. u'll remain the way u are.. mi ntakuwezea wapi bi dada weye..

That's is what we call discipline mama
Much respect kwako Hehehehehe
 
Hahaaaaaaaaaaaaa! Anaweza kuwa 2 in 1 bila shaka! Unapoteza tu nguvu zako bure! EMBU MWACHE ANIJAZIE COMMENT, ANICHANGAMSHIE THREAD, ANI WORSHIP HER MAJESTY THE QUEEN MYSELF!

Ukiendelea kuhubiri hizi siasa zako in a very short while WHO WILL I BE QUEEN TO? Maan watu kama huyo ndo WANANIWEKA JUU HUMU MMU! Wakitupa silaha chini wakafanya yao, my EMPIRE IN MMU ITAPOTEZA MVUTO WAKE NA KU COLAPSE EVENTUALLY!

THIS IS WAR BETWEEN ME N THEM! EITHER ME OR HATERS WANGU IF ANYBODY WILL DIE, CERTAINLY THEY WILL DIE WITH HONOR FIGHTING TO TILL THE END! TO LEAVE ME ALONE NA KUFANYA YAO WILL BE VERY UN PATRIOTIC FOR A HATER, THEY SHOULD FIGHT FOR WHAT THEY HATE TILL THE HAND! STOP HATING IS A HIGHEST FROM OF SELF BETRYAL!

AND I CANT STOP PROVOKING THEM! ENDING THIS WAR IS LIKE ENDING MY FAME! Nilikuwa ban, nimerudi narudisha ratings zangu juu! Who better to use as a scape got than HATERS? I WILL KEEP RULLING, PROVOKING THEM AND THE WAR MUST GO ON FOR EVERY BODYS BENEFIT! Bila kuwa hater wa Lara 1 mngemjua? Unaona sasa? THIS WAR IS NOT ENDING TODAY OR ANYTIME SOON!

narcissm at it's highest order......
And actually having a so called war with people you dont even know...hahahah,ama kwelii we differ
 
Back
Top Bottom