He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

Its a kind of inferiority complex or superiority complex, but also lack of confidence ndo mara mara nyingi hutanguliza defence mbele kwamba yeye ni bora na anajiamini!!! Ni tatizo la kisaokolojia
Lakini kanuni inasema sifa ni kusifiwa na si kujisifia! Huhitaji kushika bango kuonyesha kuwa wewe ni nani...!!!

HAHAHAAAAAAAAAA! We umenisahau eeeh! Nilivokiwa nakupa kubwa kwenye vithread vyako hadi ukaomba poooooh! Zimeshuka ubora kabisaaa siku hizi sizisomi tena anyway!

UMEITWA UJE USOME HUMU AU KIRANGA CHAKO.?

Saikolojia yako ya bei rahisi ndo inavokudanganya hivo? Ngoja nikupe real saikoloji!

YAANI MIMI MJINI NAKAA KWA JEURI YANGU, BUNDLE NANUNUA KWA JEURI YANGU, TABLET NIMEIPATA KWA KIBRI CHANGU, AFU NIINGIE JF KUANDIKA NACHOJISIKI MIE, KINACHONIPENDEZA MIE NAFSI YANGU COZ SI JEURI YANGU NDO IMENIWEKA HUMU JF? NIKITAKA KUSHIKA BANGO KUONESHA MIE NANI NSHIKA VIZURI, NIKITAKA KUFANYA ROADSHOWS, PR, ABOVE THE LINE, PRINT, DIGITAL CAMPAIGNS KUONESHA MIE NANI HUMU NAFANYA UZURI SI JEURI YANGU NDO IMENIWEKA HAPA.?

Utakuwa ujinga wa hali ya juu na usengerema niingie humu kwa kibri changu afu nifanye mnachotakanyie, KWA MTONYO GANI? Sio lack of confidence ni TOTAL IGNORATION OF YOUR THOUGHTS WHATS OVER! Ni mwendo wa nachojisikia nandika hiko hiko i dont give a F watu kama wewe mnawaza nini! Upo hapo? Sababu kwanza siwajui, pili hamniongezei wala kunipunguzia chochote! HABARI NDO HIO!
 
I can handle that dude, we ongea Tu na mwanao ahamie kipande hii,
MONEY TALKS LOUDER MY DEAR! We ongea kwa herufi kubwa tu Badibeibey can i take you todinner in Akemi, the Tanzania only revolving restaurant? Then can i take you. Capetown fish market for a dessert? The. I will love to watch the moon with you there after at Slipway while we taste their new shampaigne! N finally can i have your last dance at Club Kakala? HUO USIKU MMOJA! HATA MONEY STUNNA ATAPANGA FOLENI MIAKA 500000000! LERAN THE RULES OF THE NEW GAME BOY,! Its a new generation! Girls have new ways of dating!
 
Last edited by a moderator:
HAHAHAAAAAAAAAA! We umenisahau eeeh! Nilivokiwa nakupa kubwa kwenye vithread vyako hadi ukaomba poooooh! Zimeshuka ubora kabisaaa siku hizi sizisomi tena anyway!

UMEITWA UJE USOME HUMU AU KIRANGA CHAKO.?

Saikolojia yako ya bei rahisi ndo inavokudanganya hivo? Ngoja nikupe real saikoloji!

YAANI MIMI MJINI NAKAA KWA JEURI YANGU, BUNDLE NANUNUA KWA JEURI YANGU, TABLET NIMEIPATA KWA KIBRI CHANGU, AFU NIINGIE JF KUANDIKA NACHOJISIKI MIE, KINACHONIPENDEZA MIE NAFSI YANGU COZ SI JEURI YANGU NDO IMENIWEKA HUMU JF? NIKITAKA KUSHIKA BANGO KUONESHA MIE NANI NSHIKA VIZURI, NIKITAKA KUFANYA ROADSHOWS, PR, ABOVE THE LINE, PRINT, DIGITAL CAMPAIGNS KUONESHA MIE NANI HUMU NAFANYA UZURI SI JEURI YANGU NDO IMENIWEKA HAPA.?

Utakuwa ujinga wa hali ya juu na usengerema niingie humu kwa kibri changu afu nifanye mnachotakanyie, KWA MTONYO GANI? Sio lack of confidence ni TOTAL IGNORATION OF YOUR THOUGHTS WHATS OVER! Ni mwendo wa nachojisikia nandika hiko hiko i dont give a F watu kama wewe mnawaza nini! Upo hapo? Sababu kwanza siwajui, pili hamniongezei wala kunipunguzia chochote! HABARI NDO HIO!

Hahahaaa niliitegemea hii reaction..!!
 
sasa wewe lara 1 unataka ujibiwe vitu unavyopenda kusikia?? watu wengine wanajibu kulingana na wanachokisoma hapa.
thread zako zinasifia u-gold digger,zina promote NO-FREE P meaning kuuza K.....then watu wakikuita names unashangaa!!!

haya ur the best lara 1 ....im just saying.

Hahahahahahhaha she always call pipo hater n am not sure kama definition ya hater wake IPO sahihi
The best thing Vita pipukoni na miwani yako ya siliii diii tule muvi mkuuu
 
Last edited by a moderator:
Its a kind of inferiority complex or superiority complex, but also lack of confidence ndo mara mara nyingi hutanguliza defence mbele kwamba yeye ni bora na anajiamini!!! Ni tatizo la kisaokolojia
Lakini kanuni inasema sifa ni kusifiwa na si kujisifia! Huhitaji kushika bango kuonyesha kuwa wewe ni nani...!!!

Loud and clear
:thumbup::thumbup:
 
NAONA YOU ARE TURNING A HATER! Dont be A HYPOCRITE JUST BE A LARA 1 HATER PROUD OF HIMSELF!

Afu mshajua mimi Gold digger NAWAALIKAGA MAYBE KUWAFORCE AU KUWAFANYIA BLACKMAIL LAZIMA MSOME THREAD ZANGU.???!!! SI KIRANGA CHENU WENYEWE KIMEWAFANYA MSOME HUMU?

Sasa basi coz wewe umeshajua mrengo wangu DO YOUR SELF A FAVOR AND READ OTHER THINHS, MAMBO YA LARA 1 USHAJUA HUYAWEZI SO NEXT TIME USIINGIE COZ ITIKADI ZA FREE P ZIKO PALE PALE!

NA MIMI VISIFA VYENU HAVINIWEKI TOWN HATA KWA SEKUNDE! Wala sivi kind hata nukta! Ukisoma ongelea topic husika sio kujitia mpanaaa kunijadili mleta topic, manake na mie nitakujadili! I LOVE THE PEACE AND I LOVE THE WAR!

WHO I AM HIGHLY DEPENDS ON WHO YOU ARE!

Kwann uwachagulie watu vitu vya kusoma?
As long as ushakua member w Jf na una post mahali husika yyte na muda wwte atacomment according to his/her views
the funny thing is unataka kuwashika watu masikio
And anyone mnayepishana nae mitazamo u call him/hater n that's is how stupid u r
But remind u one thing kupishana na mtu mitizamo au misimamo haimaanishi harespect comment au post/mitazamo/misimamo yako after all there is nothing he/she can do to change that kama hauko tayari
Call me hater call me old fashioned call me mshamba fine but trust me u r just faggot another bongo movie drama n middle fin.ger to all fake divaZ kama we we!
Gracias muchas
 
Hahahaaa niliitegemea hii reaction..!!

Lazima utegee SABABU HUO NDO UHALISIA! HYPOCRACY IS NOT MY STYLE! Ningejifanya i will change, bla bla bla, mnanielewa vibaya ni total bullshit!

HIVI NDIVO NILIVO, SIBADILIKI NGOOOO NA HAMNA MWENYE JEURI YA KUNIBADILISHA! NAANDIKA NITAKACHO SI MTAKACHO NYIE! Habari ndo hii!

Na sababu ushajua ukitakacho hakitoandikwa maishaaaa yako humu USIINGIE! I dont like what you write anymore, so sifungui thread zako anymore cause come january come december i guarantee you i wont like your new staff anyway! And that is FREEDOM OF READING!
 
mmmmh Lara one we we umechezea bahati ungetulia ufaidi matunda
 
Who's the best writer hapa mmu???
Never falls short below the line, just deseriving lots of admiration, exactly stands on beat...
Acha watembee kwa nyota yako bidada, for me u the best ever hapa mmu.

Just thinking softly...
 
Inaonekana huyo alikuwa mfupi kote. Haaahaaha
 
Hahahahahahhaha she always call pipo hater n am not sure kama definition ya hater wake IPO sahihi
The best thing Vita pipukoni na miwani yako ya siliii diii tule muvi mkuuu

Nilisoma kwenye psychology kitu kinaitwa 'vurugu za kimaono' mentally disturbed, watu wenye hili tatizo wako aggressive na temper yao iko so strong! Kitu kidogo sana kinaweza kumpanikisha mpaka atoe povu ndo maana siku hizi kuna msemo wa 'umevurugwa wewe ' stress na tentions za maisha zinawafanya watu wawe hivi
Wenye hili tatizo utawaona watakavyoreact kwenye hii post
 
Back
Top Bottom