He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

Uumbaji ni kazi ya Mungu si ya mwanadamu,mnaweza wote mkawa warefu akatokea mtoto mfupi,mfano my emolo wazazi wake baba mrefu,mama kawaida watoto wote warefu,kasoro yeye lastborn,mpaka namtaniaga kwamba mother wake alichakachua!!, halafu nina ndugu yangu mmoja wenyewe wafupi lakini watoto wamepanda hewani si mchezo!!

.mpenzi mfupi yaan anakata stim zote na hata kwenye kuongozana inanipa shida..sijihisi aman kabisa..ikatokea niko na emolo sitampenda kbs ila nitakuwa nasogeza siku mbele..swala la kuongozana na mimi alisahau japo sitajaribu kumfanya ajue hilo...Atukuzwe Mungu na uumbaji wake.
 
.mpenzi mfupi yaan anakata stim zote na hata kwenye kuongozana inanipa shida..sijihisi aman kabisa..ikatokea niko na emolo sitampenda kbs ila nitakuwa nasogeza siku mbele..swala la kuongozana na mimi alisahau japo sitajaribu kumfanya ajue hilo...Atukuzwe Mungu na uumbaji wake.

Mungu ndie ajuaye mwombe tu Mungu akusaidie mapenzi yanatoka ndani ya moyo ukimpenda kwa dhati huoni kasoro
 
.mpenzi mfupi yaan anakata stim zote na hata kwenye kuongozana inanipa shida..sijihisi aman kabisa..ikatokea niko na emolo sitampenda kbs ila nitakuwa nasogeza siku mbele..swala la kuongozana na mimi alisahau japo sitajaribu kumfanya ajue hilo...Atukuzwe Mungu na uumbaji wake.

hahahaha!!!!! tulikuwa kama wewe lakini sasa mimi ndo kiherehere wa kumshika mkono,acha tu tunapendezaje????hahaha!!! mie ni kawaida si mrefu sana ila kibongebonge basi mwanzoni nilikuwa naonaje aibu? nilikuwa najisemea watu wananiona kama hili jimama linakalea haka katoto,kumbe zilikuwa ni inferiority complex zangu tu!!!
 
naamini hajafikia hapa
tolu.jpg
 
hahahaha!!!!! tulikuwa kama wewe lakini sasa mimi ndo kiherehere wa kumshika mkono,acha tu tunapendezaje????hahaha!!! mie ni kawaida si mrefu sana ila kibongebonge basi mwanzoni nilikuwa naonaje aibu? nilikuwa najisemea watu wananiona kama hili jimama linakalea haka katoto,kumbe zilikuwa ni inferiority complex zangu tu!!!

mambo ya kufananishwa...mama anampeleka mtoto shule...😕

Hongera sana lakini..wacha nijaribu kufikiri upya..
 
.mpenzi mfupi yaan anakata stim zote na hata kwenye kuongozana inanipa shida..sijihisi aman kabisa..ikatokea niko na emolo sitampenda kbs ila nitakuwa nasogeza siku mbele..swala la kuongozana na mimi alisahau japo sitajaribu kumfanya ajue hilo...Atukuzwe Mungu na uumbaji wake.

never say never...tena ukute mumeo wa ndoa ndo atakuwa hivo,situesheni itakavojiseti unaweza shangaa
 
lazima kuwe na mkono wa mtu...

hahahaha sio lazma...em nikupe mfano wanaume 2 wanakuapproach,mfupi ana hela kajiweka vizuri kimaisha while mrefu huyo hana hata mwelekeo bado anatafta kazi tuseme...kwa akili za kike utaenda kwa naniiii......??hehehh never say never
 
Yaani wanaume wafupi wanaboa aisee..ata awe mzuri vipi havutii mi nilishawashndwa..mwanaume urefu akiwa na handsome etc etc ewalaah
 
hahahaha!!!!! tulikuwa kama wewe lakini sasa mimi ndo kiherehere wa kumshika mkono,acha tu tunapendezaje????hahaha!!! mie ni kawaida si mrefu sana ila kibongebonge basi mwanzoni nilikuwa naonaje aibu? nilikuwa najisemea watu wananiona kama hili jimama linakalea haka katoto,kumbe zilikuwa ni inferiority complex zangu tu!!!

Hahahaaaaaaaaa! IM SO PROUD OF YOU! That is a true definition of LOVE! Aaaaaaaaaw! Natamani nisikie stori zenu mpaka asubuhi!
 
Back
Top Bottom