He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

Hahahaaa....Hongera mrs emolo. Ujue mambo mengine huwa tunayaongea na kuyawekea misimamo wakati ni ya kijinga tu....mara nyingi inakuwaga ni utoto na kufuata tu mkumbo. Sema mdada akuwa amepanda hewani kuwa na emolo hata hainogi.....na hili ndo huwa tunaangalia wengi maana ukiuliza what's wrong with emoloz hutapata majibu ya kueleweka zaidi ya assumptions tu....
Khantwe acha tu sometime huwa tunablock baraka wenywe,kama Mungu alivyomwambia Samwel ampake mafuta Daudi maana yeye anaangalia moyo si sura ni kweli,Mimi siyo siri nilisumbua sana 5 years unampa mtu danadana tu kisa eti emolo na mchaga loh??? alikuwa na uvumilivu si mchezo nashukuru Mungu finally akiwa amekata tamaa ndo na mimi nafungua moyo kwa mbaali!! lakini now sijuti kwa kweli!! ukitafuta wa kuendana naye nje watu watawaona mnapendeza ndani kumbe ni mbaya hamna mfano,pata tu mama chaguo toka kwa Mungu usiangalie sana mwonekano utapishana na baraka.
 
Last edited by a moderator:
hii habari ya kuchagua chagua sana wanaume oh mara emolo sijui nini inapungua automatically umri unavosogea...when ur younger chaguaaaa usije jutia sana uzeeni...

Umeona eeh? Ila mimi kwenye umri sitobadilika
 
Khantwe acha tu sometime huwa tunablock baraka wenywe,kama Mungu alivyomwambia Samwel ampake mafuta Daudi maana yeye anaangalia moyo si sura ni kweli,Mimi siyo siri nilisumbua sana 5 years unampa mtu danadana tu kisa eti emolo na mchaga loh??? alikuwa na uvumilivu si mchezo nashukuru Mungu finally akiwa amekata tamaa ndo na mimi nafungua moyo kwa mbaali!! lakini now sijuti kwa kweli!! ukitafuta wa kuendana naye nje watu watawaona mnapendeza ndani kumbe ni mbaya hamna mfano,pata tu mama chaguo toka kwa Mungu usiangalie sana mwonekano utapishana na baraka.

Hahahah af mchaga lol u r lucky mama kumpata mume mwema. One in a million
 
Last edited by a moderator:
Eeeeeeeeeeeee nami nataka ignore list niwawekemo sijui nianze na wewe maana nasikia umemtosa kaka yangu makoyoooo ni kweliii? ?la sivyo ignore itakuhusuu

Ha ha ha ama kweli dunia ina mambo loo mtoa umbea alileta picha feki Mokoyo ndo maisha Yang
Ignore list hainhusu kabisaaa
I love my mokoyo to the extent hat niambiwe nn juu yake siamin
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ama kweli dunia ina mambo loo mtoa umbea alileta picha feki Mokoyo ndo maisha Yang
Ignore list hainhusu kabisaaa
I love my mokoyo to the extent hat niambiwe nn juu yake siamin

Hayaaaa basiii sikuwekiiiiii kama ni hivyooooo
 
Last edited by a moderator:
hii habari ya kuchagua chagua sana wanaume oh mara emolo sijui nini inapungua automatically umri unavosogea...when ur younger chaguaaaa usije jutia sana uzeeni...

Ni kweli umri ukishaenda unaanza kupaniki hata huyo emolo humoati whats matter ni true love mana hawakupenda wawe hvo
 
HAHAHAHAAAAAAAAAAAA,! AWWWWWWWWW! So sweet! Namuonea raha Emolo maskini hakuwa na bitter fate kama huyu wangu maskini! I am so HAPPY FOR YOU! Na itakuwa unapewa ma care ya hatariiii, uaishi kama malkia!

Habari iwa INSPIRE wafatao masai dada, Khantwe, miss neddy, Dinazarde, Valentina, Vaislay

mimi wala sichagui sibagui hata emolo akifika viwango twende waweza kujiweka kwa tolu akakufuja tu na mikwaju ya bure
 
Last edited by a moderator:
ujumbe umefika...am alergc na emoloz...kuchafua mzunguko wa ukoo hapana

Uumbaji ni kazi ya Mungu si ya mwanadamu,mnaweza wote mkawa warefu akatokea mtoto mfupi,mfano my emolo wazazi wake baba mrefu,mama kawaida watoto wote warefu,kasoro yeye lastborn,mpaka namtaniaga kwamba mother wake alichakachua!!, halafu nina ndugu yangu mmoja wenyewe wafupi lakini watoto wamepanda hewani si mchezo!!
 
Hahahahhahhaha!!!!! nashukuru Mungu,jamani kupendwa kuzuri ingawaje gharama,full katika shida na raha,najilia vyangu now full wife material napalilia penzi maana naona emolo wangu wanamtolea mimacho sana siku hiz!!!!

Halafu nawambia hivi dont judge a book by its cover!!!! najua mnawakataa emolo mnadhani ni vibamia thubutu!! emolo wanaweza kazi acha kabisa na mashine zao loh!!!!!!! mama ulivyoambiwa ni msweeet emolo siyo siri ni so sweetest!!!! nje ndani, tafadhalini msinitangazeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!

Nakubaliana na wewe ujana Maji ya moto wengi tunakuwa na sifa za kijinga Mara HB or mrefu tunasahau kwamba ndoa ni zaid ya hapo
Umri unaenda wenye sifa hizo physical shida tukiulizwa hizo sifa zinatuongezea nn in life hakuna.......

Emolo most of them wanna care ile mbaya,ishu ya vibamia ni mtu yoyote hat tall mbona kuna vibamia?
Hongera ur ar so lucky best kupata ndoa yenye upendo na care.
 
Hey don't be stupid bro n don't disrespect me like that got no beef with limbukeni huyu o anyone aisee
Kupishana mitazamo kwa MTU mwenye akili ni moja ya positive altitude
So cm she calling pipo hater because of that ts funny u call uaself mwanaume una support duuu
Nani anataka kuchange maisha yake n y?
Limbukeni tu but it doesn't we can take t but I respect anything she will do because is what am suppose to do lakini nawashangaa nyie mnaokuza mambo.like beef an all those stuff y?
Ningekua na beef nisingecomment wala kulike /association yyte na huyu malkia Wa kingdom ya mfalme juha
I don't block her neither do keep her in ignore list
After all this is Jf aka jamii forums where we dare talk openly u know what t means?
so stop being stupid like her

ok, sorry,one love mkuu
 
Eeeeeeeeeeeee nami nataka ignore list niwawekemo sijui nianze na wewe maana nasikia umemtosa kaka yangu makoyoooo ni kweliii? ?la sivyo ignore itakuhusuu

hmmm...kufatilia ndoa za watu km wamepigana au kuachana ni zambiii...
niwekemo blacklist,ignore list haitoshi
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ama kweli dunia ina mambo loo mtoa umbea alileta picha feki Mokoyo ndo maisha Yang
Ignore list hainhusu kabisaaa
I love my mokoyo to the extent hat niambiwe nn juu yake siamin

huli hunywi kwa jili ya mokoyo...mpk nakusaidia kula na kulala...
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe ujana Maji ya moto wengi tunakuwa na sifa za kijinga Mara HB or mrefu tunasahau kwamba ndoa ni zaid ya hapo
Umri unaenda wenye sifa hizo physical shida tukiulizwa hizo sifa zinatuongezea nn in life hakuna.......

Emolo most of them wanna care ile mbaya,ishu ya vibamia ni mtu yoyote hat tall mbona kuna vibamia?
Hongera ur ar so lucky best kupata ndoa yenye upendo na care.

Hawajui tu utatafta mrefu hadi lini.hujafa hujaumbika unaweza ukampata akapata ajali au chochote akabadilika hapo inakuwaje ndoa ni more than appearance wengi wanasema mfupi or kama wejiumba wenyewe jamani unaweza ukakuta mtu ana taka mrefu utafikiri wao.wana mvuto
 
huli hunywi kwa jili ya mokoyo...mpk nakusaidia kula na kulala...

Lala tu na kula
Vingine niachie kabisaaaa
Chezea kupendwa wewe .
Mapenzi yamenivuruga kabisaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom