"Askofu" "Jamal Hussein"........ Mbona Jina, tittle, na vitendo havifanani? Anamdanganya nani huyu?
...............................Ashindwe kwa Jina la Yesu...:A S-frusty::A S-frusty::A S-frusty:
Wengi wamegundua kuhubiri ni sawa na kufanya kazi ktk ngo fulani yaani ni ajira kama ajira nyingine. Watz tuwe macho na madhehebu yanayoibuka kila kukicha!!!!!!