He he he

vkeisy2006

JF-Expert Member
Mar 26, 2010
229
99
kumbe kiswahili bado ni ishu kwa waswahili wenyewe nacheka coz ya yule raisi wetu mmoja nasikia ni mtu wa kusini..... aliemaliza awamu yke kabla ya huyu ......eti kaenda kumtembelea baba wa taifa anarudi pale uwanja wa ndege anahojiwa anasema HALI NILIYOKANKUTA NAYO BABA WA TAIFA......HIVI HICHI NI KISWAHILI KWELI?au mi ndo sielewi....
 
kumbe kiswahili bado ni ishu kwa waswahili wenyewe nacheka coz ya yule raisi wetu mmoja nasikia ni mtu wa kusini..... aliemaliza awamu yke kabla ya huyu ......eti kaenda kumtembelea baba wa taifa anarudi pale uwanja wa ndege anahojiwa anasema HALI NILIYOKANKUTA NAYO BABA WA TAIFA......HIVI HICHI NI KISWAHILI KWELI?au mi ndo sielewi....
wewe mwenyewe kiswahili ulichoandika bado ni kituko kitupu rekebisha wewe kwanza hiyo mada ndo umtuhumu mwingine,acha uswahili
 
vkeisy2006
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Fri Mar 2010
Posts: 4
Thanks: 2
Thanked 0 Times in 0
 
kumbe kiswahili bado ni ishu kwa waswahili wenyewe nacheka coz ya yule raisi wetu mmoja nasikia ni mtu wa kusini..... aliemaliza awamu yke kabla ya huyu ......eti kaenda kumtembelea baba wa taifa anarudi pale uwanja wa ndege anahojiwa anasema HALI NILIYOKANKUTA NAYO BABA WA TAIFA......HIVI HICHI NI KISWAHILI KWELI?au mi ndo sielewi....

Hivi kati yako na yeye ni nani asiyefahamu Kiswahili? Yaani nyani analicheka kundule? Yaani vihiyo Bwana, kazi kweli kweli!!! Hebu tazama ulivyoandika

Rais= raisi, Hiki= hichi, ninacheka= nacheka, kwenda=kaenda..... yaani nikichambua nitakumaliza kabisa. Bottom line,hufahamu Kiswahili, sijui Kiingereza na Kifaranza au navyo ni nyota au maruweruwe.
 
Back
Top Bottom