vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
kumbe kiswahili bado ni ishu kwa waswahili wenyewe nacheka coz ya yule raisi wetu mmoja nasikia ni mtu wa kusini..... aliemaliza awamu yke kabla ya huyu ......eti kaenda kumtembelea baba wa taifa anarudi pale uwanja wa ndege anahojiwa anasema HALI NILIYOKANKUTA NAYO BABA WA TAIFA......HIVI HICHI NI KISWAHILI KWELI?au mi ndo sielewi....