Salaam.
Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya hili anijuze sehemu kwa hapa DSM ambayo naweza pata mojawapo kati ya hizi gadgets mbili.
Thanks in advance.View attachment 894033View attachment 894034
Asante sana kaka, nitatembelea maeneo hayo.nenda kkoo ama poster kwenye maduka ya computer na vifaa vya network pia unaweza cheki kwa wale jamaa pale kkoo kwenye junction kama waelekea mnazi mmoja mie nishanunua sana vitu kwao uwaga na makolo kolo mengineyo ata dukani ayapatikani
Shukrani Mkuu, nimefanikiwa kupata cable, kwenye one of the shops pale JM Mall.nenda kkoo ama poster kwenye maduka ya computer na vifaa vya network pia unaweza cheki kwa wale jamaa pale kkoo kwenye junction kama waelekea mnazi mmoja mie nishanunua sana vitu kwao uwaga na makolo kolo mengineyo ata dukani ayapatikani
shukraniShukrani Mkuu, nimefanikiwa kupata cable, kwenye one of the shops pale JM Mall.
Kama ujapata mi ninayo hiyo ya pili niliagiza kimakosa so let 25K nikuachieSalaam.
Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya hili anijuze sehemu kwa hapa DSM ambayo naweza pata mojawapo kati ya hizi gadgets mbili.
Thanks in advance.View attachment 894033View attachment 894034
Naomba kujuzwa hizo HDMI zinatumika vipi?