Kama ni developer/IT pita hapa

Marcovicsavic

Senior Member
Nov 14, 2020
130
298
Habari

Naomba nisisitize kama haupo kwenye tasnia tajwa hapo juu uzi haukuhusu unless uwe mdau mwenye nia ya kusapoti mawazo chanja.

Niende kwenye point,

Ninataka ku establish forum/hub ambayo itakusanya Developers na IT wa Tanzania sehemu moja ,
Forum ambayo Changamoto na updates zote zitakua shared na kutazama namna gani tunaweza kuzi fikisha kwenye mamlaka husika au kuzitatua kama zipo ndani ya uwezo wetu.

Kwanini nataka hivyo.

Sababu ni kuwa na sauti ya pamoja yenye nguvu , pia kuwa na sehemu ambayo tunaweza kushare mawazo na idea sisi kwa sisi kama developers na watu wa Tech wa Tanzania ,
Hii ita turahishia hata kuwa na product(open source) za kitaifa , ambazo zinaweza kufanyika in collaboration ,na ku solve mambo mengi.

Zilizopo hazitoshi?

Forum na hub nyingi zilizopo ni za wordwide, mfano github , stack overflow ni sehemu ambazo yes Developer unawez kuta changamoto yako na kupata majibu ila zipo zile ambazo zipo kwa nchi yetu tu ambazo kimsingi huwezi pata solution kule,

Pia huwezi kuongea lugha moja na developer alie india, kuna vitu kwenye ground havimatch ndio maana kuna wakati unaangalia toutorials unafata steps zote na bado hazi code work ,

Mwisho ni michongo
Ukiwa IT , una maisha magumu sababu ya kukosa ajira kwa kiasi fulani ni uzembe ila ukiwa na taarifa sahihi unaweza kufunguka na maisha yakendelea ..

Hivyo kama upo kwenye kundi hilo basi tumia email [director@kingosr.tech] kunipa wasifu wako ili tuome namna ya ku move na hili wazo ,


Unaweza ongeza wazo lako pia!
 
Wewe unaongelea mpango? Mimi nimedevelop kabisa mpaka UI ya Forum ila tatizo tutazunguka ila point tutarudi palepale..Hao developer wenyewe sasaa ni pasua kichwa mzee..Yani humuhumu tushawahi kutengeneza group Telegram watu wakajoin..ukiuliza swali mijitu kimyaaa..Nilisumbuka sana mpaka nikaotea group moja tsap ndo angalau nikakuta wajuzi wa mambo mpaka leo tumesaidiana sanaa

Ila forum kama stack overflow kwa hapa bongo inabidi uwe na moyo wa chuma haswaa
 
Wewe unaongelea mpango? Mimi nimedevelop kabisa mpaka UI ya Forum ila tatizo tutazunguka ila point tutarudi palepale..Hao developer wenyewe sasaa ni pasua kichwa mzee..Yani humuhumu tushawahi kutengeneza group Telegram watu wakajoin..ukiuliza swali mijitu kimyaaa..Nilisumbuka sana mpaka nikaotea group moja tsap ndo angalau nikakuta wajuzi wa mambo mpaka leo tumesaidiana sanaa

Ila forum kama stack overflow kwa hapa bongo inabidi uwe na moyo wa chuma haswaa
Yes unacho sema ni kweli kabisa , hii inatoka na ukweli kwamba kuna watu wengi wana jivarisha taji la u IT ilhali sio ,
Hao ndio wanao jaa huko kwa lengo moja la kupata chochote kitu na sio ku contribute ,

Kutatua hilo lazima iwepo qualification , qualifying test ,
Pia wanao kua verified wanakua recognised ili hata Mtu anae hitaji IT anapo hire veried IT basi anakua na uhakika kua kweli ni mtu sahihi,

Kingine hivi vitu hua ha achieve mtu mmoja unakuta ni team ya watu wengi wenye focus na target moja ,
Hizo git hub ,stack overflow zote zilianza hivyo ,

Hii itasaidia sana ku wa expose wasio na taaluma hii na wanajiita IT / DEVELOPERS
 
Yes unacho sema ni kweli kabisa , hii inatoka na ukweli kwamba kuna watu wengi wana jivarisha taji la u IT ilhali sio ,
Hao ndio wanao jaa huko kwa lengo moja la kupata chochote kitu na sio ku contribute ,

Kutatua hilo lazima iwepo qualification , qualifying test ,
Pia wanao kua verified wanakua recognised ili hata Mtu anae hitaji IT anapo hire veried IT basi anakua na uhakika kua kweli ni mtu sahihi,

Kingine hivi vitu hua ha achieve mtu mmoja unakuta ni team ya watu wengi wenye focus na target moja ,
Hizo git hub ,stack overflow zote zilianza hivyo ,

Hii itasaidia sana ku wa expose wasio na taaluma hii na wanajiita IT / DEVELOPERS
Ukiwa na mipango hasi kama unayo andika hapa, trust me hufiki popote, inamaana wewe lengo lako ni ku expose wengine, na si kusaidiana kufika mahali fulani pamoja.
 
Wewe unaongelea mpango? Mimi nimedevelop kabisa mpaka UI ya Forum ila tatizo tutazunguka ila point tutarudi palepale..Hao developer wenyewe sasaa ni pasua kichwa mzee..Yani humuhumu tushawahi kutengeneza group Telegram watu wakajoin..ukiuliza swali mijitu kimyaaa..Nilisumbuka sana mpaka nikaotea group moja tsap ndo angalau nikakuta wajuzi wa mambo mpaka leo tumesaidiana sanaa

Ila forum kama stack overflow kwa hapa bongo inabidi uwe na moyo wa chuma haswaa
Wabongo ni shida wanakuambi utengeneze kitu kiki kamilika hawataki kukitumia. Aise nimesoma hii commit nimecheka sana
 
Wewe unaongelea mpango? Mimi nimedevelop kabisa mpaka UI ya Forum ila tatizo tutazunguka ila point tutarudi palepale..Hao developer wenyewe sasaa ni pasua kichwa mzee..Yani humuhumu tushawahi kutengeneza group Telegram watu wakajoin..ukiuliza swali mijitu kimyaaa..Nilisumbuka sana mpaka nikaotea group moja tsap ndo angalau nikakuta wajuzi wa mambo mpaka leo tumesaidiana sanaa

Ila forum kama stack overflow kwa hapa bongo inabidi uwe na moyo wa chuma haswaa
Weka link ya group mkuu. Utakuwa umetusaidia
 
Kuwa pamoja ni kupoteza muda, wabongo kwenye magroup hawachangiaji wapo kama wamelazimishwa kujoin. Ishu ni kutafuta project ambayo itatuweka pamoja na ku implement na sio porojo. Wabongo kwa porojo ni #1.


Kama kuna app developer ambao wako competete tujoin tungengeneze app ya kilimo ambayo ina:

1. P2P ESCROW(BUY AND SELL CROPS)
2. TRANING (VIDEO LECTURES)


Kukusanyika bila project ni kupotexa muda..
 
Kuwa pamoja ni kupoteza muda, wabongo kwenye magroup hawachangiaji wapo kama wamelazimishwa kujoin. Ishu ni kutafuta project ambayo itatuweka pamoja na ku implement na sio porojo. Wabongo kwa porojo ni #1.


Kama kuna app developer ambao wako competete tujoin tungengeneze app ya kilimo ambayo ina:

1. P2P ESCROW(BUY AND SELL CROPS)
2. TRANING (VIDEO LECTURES)


Kukusanyika bila project ni kupotexa muda..
Safi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom